Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yaliyojiri ndani na nje ya dakika 90 za Nani Mtani Jembe U/Taifa

SIKU 75 za kampeni ya aina yake iliyopewa jina la Nani Mtani Jembe, iliyoratibiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), ikihusisha zaidi mashabiki wa klabu mbili za Simba na Yanga...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NANI MTANI JEMBE 2, YANGA KUIVAA SIMBA KESHO TAIFA

Mechi ya Nani Mtani Jembe namba 2 itafanyika kesho siku ya jumamosi katika dimba la Uwanja ambapo itawakutanisha Young Africans Sports Club dhidi ya Simba SC huku timu  zote zikitarajiwa kuwatumia wachezai wao wapya zilizowasajili katika kipindi cha dirisha dogo. Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo tayari kimeshawasajili wachezaji wawili kiungo Emerson de Oliveira kutoka nchini Brazil na mshambuliaji mkongwe na mzoefu wa hali ya...

 

10 years ago

GPL

11 years ago

GPL

NANI MTANI JEMBE?......MNYAMAAAAAA!

Haruna Shamte akiwa amenyanyua juu Kombe la Mtani Jembe alilokabidhiwa na Mgeni Rasmi, Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe (mwenye suti nyeusi kulia) baada ya kuwashushia kichapo cha mabao 3-1 Watani Wao, Yanga SC katika mechi ya Nani Mtani Jembe iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar leo jioni.
Mshambuliaji wa Simba aliyepeleka kilio Jangwani kwa kuwatungua mabao mawili, Amissi Tambwe akishangilia… ...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA NANI MTANI JEMBE


Find more photos like this on Global…

 

10 years ago

GPL

Nani mtani jembe: tumuachie Mungu

Mchezaji wa Yanga, Kpah Sherman. Na Wilbert Molandi  
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, amekiangalia kikosi chake kwa makini na ghafla akachukua maamuzi magumu ya kuwaanzisha wachezaji wapya wawili waliotua kwa ajili ya majaribio, kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe. Wachezaji hao waliotua Jumatano kwenye kambi yao waliyoweka huko Unguja, Zanzibar ni Simon Sserunkuma, 18, aliyetokea Express na Juuko Murushid...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MECHI YA NANI MTANI JEMBE

Mashabiki wa Yanga wakishangilia. Haruna Shamte akiambaa na mpira. Uhuru Selemani…

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA 2 YANGA 0 NANI MTANI JEMBE

 Awadh Juma na Jonas Mkude wakishangilia moja ya magoli ya Simba. (Picha ya maktaba).Mabingwa wa Kombe la Nani Mtani Jembe, Simba SC ya Msimbazi jijini Dar es Salaam wameshawanyanyuka vitini kufuatia bao la kuongozwa lililotumbukizwa kimiani na Mchezaji wake Awadh Juma.
Goli la pili la Simba limeweka wavuna na Elius Maguli na kuifanya Yanga kuzidi kutweta huku Simba wakizidi kuliandama lango la Yanga.

Mchezo huo wa kuania kombe la Nani Mtani Jembe 2014 bado unaendelea Uwanja wa Taifa jijini...

 

10 years ago

Michuzi

hayaaa! hayaaaaaa! nani mtani jembe leo???

Mechi ya Nani Mtani Jembe namba 2 inafanyika jioni hii ya Jumamosi katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam ambapo itawakutanisha Young Africans Sports Club dhidi ya Simba SC huku timu  zote zikitarajiwa kuwatumia wachezai wao wapya zilizowasajili katika kipindi cha dirisha dogo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani