Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga beat Mbeya City, Simba held

Young Africans have continued to shine in the ongoing Tanzania Mainland premier league after beating Mbeya City 3-0 at the National Stadium.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga, Simba raid Mbeya City

Dar es Salaam. Mainland champions Young Africans have reinforced their squad ahead of next season’s Premier League and Africa Champions League with two more players.

 

11 years ago

GPL

Kim: Mbeya City ni bora kuliko Yanga, Simba

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen. Na Nicodemus Jonas
KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen, amesifia kiwango cha timu changa kwenye ligi kuu, Mbeya City na kusema kuwa ndiyo timu iliyopo kwenye kiwango cha juu zaidi kwa sasa. Kim amesema katika mechi alizofuatilia, Mbeya City ndiyo imekuwa kwenye kiwango zaidi huku timu nyingine zikitetereka katikati mwa msimu.… ...

 

10 years ago

TheCitizen

Simba held, Yanga take on Mtibwa

 Mainland giants Simba and Azam FC dropped two points each in their respective Premier League matches yesterday.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba, Azam win as Yanga held

Strikers Dan Sserunkuma and Elius Magulia scored a goal apiece as Simba hit Ndanda FC 2-0 in Mtwara while Young Africans were forced to a barren by Ruvu Shooting at the National Stadium yesterday.

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa

SIMBA-YANGA-3.jpg
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani