Yanga harbour hopes despite Etoile pedigree
Young Africans face an almost impossible task in the CAF Confederation Cup, but the Jangwani giants are adamant that they will cruise to the later stages of the African showpiece.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Yanga, Etoile gusa unase
Dar es Salaam. Kocha wa Yanga, Hans Pluijn ana siku mbili za kutafuta mbinu sahihi za kuzuia mashambulizi hatari ya kipindi cha kwanza ya Etoile du Sahel ya Tunisia, Jumamosi kwa ajili ya kujihakikisha matokeo mazuri kwenye mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Etoile na Yanga kupimana ubavu
Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia inategemewa kuwasili Dar es Salaam wiki hii kwa ajili ya mechi dhidi ya Yanga.
10 years ago
Mwananchi02 May
Yanga, Etoile ni vita pevu
Sousse, Tunisia. Yanga imefanyiwa vurugu za kila namna baada ya kutua jijini Tunis na wapinzani wao, Etoile du Sahel juzi, lakini kocha Hans Pluijm amesema hakuna kipya katika vitimbi hivyo.
10 years ago
Vijimambo06 Apr
Yanga kuivaa Etoile Afrika
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/msuva-yanga.jpg)
Wawakilishi pekee wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa, timu ya Yanga, itacheza dhidi ya Etoile du Sahel ya Tunisia katika hatua ya 16-Bora ya Kombe la Shirikisho Afrika, imefahamika.
Yanga itaikabili Etoile baada ya miamba hao wa Tunisia kulazimisha sare ya 1-1 ugenini Angola dhidi ya Benfica jana na hivyo kusonga mbele kwa jumla ya mabao 2-1 kufuatia ushindi wa 1-0 katika mechi yao ya kwanza.
Yanga watacheza dhidi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RLhi67I8OGo/VTYyzd2v2HI/AAAAAAAHSNc/r6KvZnKuVmo/s72-c/MMGL0570.jpg)
YANGA, ETOILE ZAINGIZA MIL 22
![](http://3.bp.blogspot.com/-RLhi67I8OGo/VTYyzd2v2HI/AAAAAAAHSNc/r6KvZnKuVmo/s1600/MMGL0570.jpg)
Jumla ya watazamaji 36,105 walikata tiketi kuhudhuria mchezo huo, huku VIP A zikikatwa tiketi 68, VIP B tiketi 869, VIP C tiketi 582, Orange tiketi 1,955 na viti vya rangi ya Bluu na Kijani tiketi 32,631 ziliuzwa.
Mgawanyo wa mapato ni VAT 18% sh....
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Yanga kukwaana na Etoile du Sahel
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya vilabu ya kombe la Shirikisho barani Afrika watacheza na Etoile du Sahel ya Tunisia.
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Yanga yaifuata Etoile du Sahel Tunisia
Yanga ya Tanzania imeondoka Dar es Salaam kuelekea Tunisia kwa ajili ya mechi yao ya marudiano na Etoile du Sahel ,Jumamosi.
10 years ago
TheCitizen19 Apr
SOCCER: Yanga, Etoile share the spoils
>Young Africans’ smooth run in the CAF Confederation Cup became a little bumpy yesterday as they were forced to a 1-1 draw by Tunisia’s Etoile du Sahel in the second round, first leg clash.
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Majeruhi Yanga kuikabili Etoile du Sahel
Mshambuliaji wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho huenda akawa sehemu ya mchezo kati ya klabu yake na Etoile du Sahel ya Tunisia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania