Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga to face underdogs in CAF tourney

Young Africans FC have a considerably easier assignment against a little-know Mauritanian side compared to the task at hand for their homeboys Azam FC, who will have to go past tough rivals as the Tanzania Mainland representatives kick off their African Champions league campaign.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Yanga yamtema Kaseja Caf

Kipa wa Yanga Juma Kaseja. Na Mwandishi Wetu
YANGA imetuma majina 23 kwa ajili ya kikosi chao kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini imemtema kipa Juma Kaseja. Katika majina yaliyotumwa kwenye makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf), hakuna jina la Kaseja.
Caf imeipanga Yanga kuanza na BDF ya Botswana, ambayo ni timu inayomilikiwa na jeshi la ulinzi la nchi hiyo. Habari za uhakika kutoka Caf...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamtosa Chuji CAF

Balaa limeendelea kumwandama kiungo Athumani Idd ‘Chuji’ baada ya kutoswa kwenye kikosi cha Yanga kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa msimu huu.

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga Caf opponents arrive

>Komorozine de Domoni, Young Africans’ opponents in the African Champions league, jetted into the country yesterday ready for the first leg match at the National Stadium tomorrow.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC yasonga mbele CAF

Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara wamefanikiwa kusonga mbele katika mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kwa jumla ya mabao 3-2, licha ya kulala ugenini kwa mabao 2-1 dhidi ya BDF ya Botswana.

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga embark on Caf mission

Mainland champions Young Africans will have another shot at international glory this evening when they begin their campaign in the African Champions League.

 

11 years ago

GPL

YANGA KUVUNA MIL 90 CAF

Katibu Mkuu wa Yanga Bw. Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga. Kushoto ni mwakilishi wa kampuni ya SGM Bw. Francis Goitha Klabu ya Young Africans SC imeingia mkataba wa kurusha mchezo wake wa hatua ya kwanza ya mashindano ya klabu Bingwa Afrika dhidi ya timu ya Alh Ahly ya Misri kwa gharama ya dola za kimarekani elfu 55,000 sawa na mil 90/= za kitanzania kwa muda wa dakika 90. Akiongea...

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yaibeba Azam CAF

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MABINGWA wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jana waliibeba Azam na kuwawezesha kukata tiketi ya kucheza Kombe la Shirikisho Barani Afrika mwakani, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Matokeo hayo yaliwafanya Yanga wakabidhiwe kombe la ubingwa huku wakiwa na machungu ya kufungwa na Azam, walioshindwa kutetea taji lao walilotwaa msimu uliopita.
Ushindi huo pia umetibua ndoto na hesabu za...

 

10 years ago

TheCitizen

EDITORIAL: Yanga, take your CAF cup preparations seriously

>It is always important to take the promises of soccer giants Young Africans and Simba with a hefty dose of salt. Like politicians, they often say what members and fans of the two clubs want to hear.

 

11 years ago

Mwananchi

CAF yaipa Yanga timu laini

Yanga imepangwa na timu laini ya Komorozine ya Comorro katika mechi za raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, wakati Azam imepangiwa Ferroviario Da Beira ya Msumbiji kwenye Kombe la Shirikisho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani