YANGA WAICHAPA THIKA YA KENYA SIKU YA JANA TAIFA, DAR
Mshambuliaji wa timu ya Yanga SC, Geilson Santana Santos 'Jaja' ( wa pili kulia) akimtoka beki wa timu ya Thika ya nchini Kenya, Simon Mbugua (wa kwanza kulia) jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa kirafiki Yanga SC ilishinda 1-0. Jaja akishangilia baada ya kuipatia bao la kuongoza dakika ya 58 kipindi cha pili.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Yanga kuivaa Thika United Taifa leo
Kikosi cha Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha timu ya Yanga leo kinatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Thika United ya Kenya katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Yanga, iliyoweka kambi visiwani Zanzibar, ilirejea Dar es Salaam baada ya kucheza mechi tatu kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.
Kabla ya kuanza kwa ligi hiyo, Yanga watamenyana na mabingwa watetezi wa ligi hiyo, timu ya Azam FC, katika mchezo wa Ngao ya...
11 years ago
GPLYANGA ILIVYOWANYOA ‘WAJESHI’ WA RUVU JANA TAIFA
10 years ago
GPLBASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO SIKU YA JANA
10 years ago
GPLASKARI WA USALAMA BARABARANI AGONGWA NA DALADALA SIKU YA JANA, MBAGALA DAR
11 years ago
GPLMVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR SIKU YA JANA
11 years ago
MichuziMTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0
10 years ago
MichuziSIKU YA YOGA DUNIANI KIMATAIFA ILIYOFANYIKA KATIKA FUKWE ZA KOKOBICHI JIJINI DAR JANA.
11 years ago
MichuziMTANANGE WA YANGA NA KOMOROZINE YA NCHINI COMORO UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 2-0
9 years ago
Vijimambo