Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yachukua tahadhari Misri

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema timu yake haitakwenda Misri ikiwa na dhana ya kwenda kujilinda ila itashambulia muda wote kwa lengo la kusaka mabao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Afrika Kusini yachukua tahadhari ya ugaidi

Serikali ya Afrika Kusini imeimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali nyeti katika kipindi hiki cha maombolezo ya kifo cha Rais wake wa kwanza mzalendo, Nelson Mandela.

 

5 years ago

Michuzi

Manispaa ya Ubungo yachukua tahadhari ya Virusi vya Corona kwa kupuliza dawa maeneo mbalimbali

Na Chalila Kibuda, Michuzi TV.

Manispaa ya Ubungo  imesema kuwa iko katika mkakati wa  upuliziaji dawa katika maeneo ya mbalimbali ikiwemo na sehemu za huduma za kijamii.

Akizungumza na Michuzi TV Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic Swai amesema kuwa mkakati huo ni kuchukua tahadhari ya kujikinga na Virusi vya Corona.

Swai amesema kuwa katika  kipindi chote hiki wananchi wazinagatie usafi wa kunawa mikono katika sehemu za huduma za Jamii kwani vifaa wameweka wameweka.

Amesema ...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yatanguliza wanne Misri

Uongozi wa Yanga umepeleka watu wanne kuichunguza Al Ahly ya Misri, akiwamo kocha msaidizi wa timu hiyo, Boniface Mkwasa aliyekwea ‘Pipa’ juzi ili kuiangalia timu hiyo ikicheza na Sfaxien ya Tunisia katika mchezo wa Super Cup Afrika utakaofanyika leo kwenye Uwanja wa Cairo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani