Yanga yachukua tahadhari Misri
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema timu yake haitakwenda Misri ikiwa na dhana ya kwenda kujilinda ila itashambulia muda wote kwa lengo la kusaka mabao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Afrika Kusini yachukua tahadhari ya ugaidi
Serikali ya Afrika Kusini imeimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali nyeti katika kipindi hiki cha maombolezo ya kifo cha Rais wake wa kwanza mzalendo, Nelson Mandela.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z5JI1NefIDY/XoY6i4N4PKI/AAAAAAALl4g/Y8bV64ciycoyhsvvMC1scempOjPsY1pLgCLcBGAsYHQ/s72-c/8dbb392a-9d26-45fb-bb1f-59bcf9a2fdbc.jpg)
Manispaa ya Ubungo yachukua tahadhari ya Virusi vya Corona kwa kupuliza dawa maeneo mbalimbali
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV.
Manispaa ya Ubungo imesema kuwa iko katika mkakati wa upuliziaji dawa katika maeneo ya mbalimbali ikiwemo na sehemu za huduma za kijamii.
Akizungumza na Michuzi TV Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic Swai amesema kuwa mkakati huo ni kuchukua tahadhari ya kujikinga na Virusi vya Corona.
Swai amesema kuwa katika kipindi chote hiki wananchi wazinagatie usafi wa kunawa mikono katika sehemu za huduma za Jamii kwani vifaa wameweka wameweka.
Amesema ...
Manispaa ya Ubungo imesema kuwa iko katika mkakati wa upuliziaji dawa katika maeneo ya mbalimbali ikiwemo na sehemu za huduma za kijamii.
Akizungumza na Michuzi TV Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic Swai amesema kuwa mkakati huo ni kuchukua tahadhari ya kujikinga na Virusi vya Corona.
Swai amesema kuwa katika kipindi chote hiki wananchi wazinagatie usafi wa kunawa mikono katika sehemu za huduma za Jamii kwani vifaa wameweka wameweka.
Amesema ...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Yanga yatanguliza wanne Misri
Uongozi wa Yanga umepeleka watu wanne kuichunguza Al Ahly ya Misri, akiwamo kocha msaidizi wa timu hiyo, Boniface Mkwasa aliyekwea ‘Pipa’ juzi ili kuiangalia timu hiyo ikicheza na Sfaxien ya Tunisia katika mchezo wa Super Cup Afrika utakaofanyika leo kwenye Uwanja wa Cairo.
11 years ago
Michuzi10 Mar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania