Yanga yatanguliza wanne Misri
Uongozi wa Yanga umepeleka watu wanne kuichunguza Al Ahly ya Misri, akiwamo kocha msaidizi wa timu hiyo, Boniface Mkwasa aliyekwea ‘Pipa’ juzi ili kuiangalia timu hiyo ikicheza na Sfaxien ya Tunisia katika mchezo wa Super Cup Afrika utakaofanyika leo kwenye Uwanja wa Cairo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Yanga yachukua tahadhari Misri
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema timu yake haitakwenda Misri ikiwa na dhana ya kwenda kujilinda ila itashambulia muda wote kwa lengo la kusaka mabao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx9nB-7qVtYRAkD07e0nTNx4Azp*bULL588RM5iKYG6KhntvsSB1oAccSJcCM8-1bGmPvG1F5B2dJnW5ruJK555y/11.gif?width=600)
Maximo ashikilia usajili wa nyota wanne Yanga
Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa hatima ya wachezaji wao wanne ambao mikataba yao imemalizika, ipo chini ya kocha mpya, Mbrazili, Marcio Maximo. Mbrazili huyo hivi sasa yupo katika mazungumzo ya mwisho na klabu hiyo kwa ajili ya kutua kuja kukinoa kikosi hicho akimrithi Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Nyota hao wanne ambao mikataba nayo imemalizika ni kipa Ali Mustapha...
11 years ago
Michuzi10 Mar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania