Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yafikiria kimataifa 2016

Baada ya kufanya usajili wa dakika za mwisho kwa mshambuliaji Paul Nonga na kiungo Issofou Boubacar ‘Diego’ raia wa Niger, Yanga imeanza harakati wa kujiandaa na mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tamasha la kimataifa la Sauti Za Busara halitafanyika mwakani (2016)

Tamasha la muziki la kimataifa, Sauti Za Busara ambalo limekuwa likifanyika mwezi wa pili Zanzibar, halitakuwepo mwakani 2016 kutokana na uhaba wa fedha. Hii itakuwa ni mara ya kwanza ndani ya miaka 13 Zanzibar kulikosa tamasha hilo lifanyikalo kila wiki ya pili ya mwezi Februari. Mkurugenzi Mtendaji wa Busara Promotions, Yusuf Mahmoud amesema; “Uamuzi huu […]

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUWA NCHI YA HESHIMA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA BIASHARA KATI YA AFRIKA NA UBELGIJI APRILI 2016

Balozi wa Tanzania Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji Wakuu wa Taasisi ya Afrika Rise baada ya kikao kilichofanyaka Ofisi za Ubalozi wa Tanzania Ubeligiji kuwasilisha taarifa za Tanzania kuteuliwa kuwa Nchi ya Heshima katika Kongamano la Biashara Kati ya Afrika na Ubelgiji litakalofanyika Aprili 2016. Makampuni zaidi ya 1000 kutoka Taanzania, Ubeligiji, Luxembourg, Afrika, Canada, Switzerland na Dubai...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yaziaga sare, yafikiria ushindi

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza mkakati wa kupata ushindi kwenye mechi zilizosalia za Ligi Kuu msimu huu wakieleza kuwa, sare sasa basi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Yanga yatoa Dozi mapinduzi cup 2016.

Michuano ya kombe la mapinduzi 2016 imeanza mwanzoni mwa wiki hii visiwani Zanzibar

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yafikiria kurejesha mfumo wa wajumbe wa nyumba kumi

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne SaginiSERIKALI imesema inaangalia namna ya kurudisha utaratibu wa kuwatambua wageni wanaoingia katika maeneo mbalimbali nchini kama njia ya kujikinga na vitendo vya kihalifu hata kigaidi hasa katika maeneo ya mipakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yajifua kimataifa zaidi

Baada ya kupata tiketi ya kucheza katika michuano ya Kombe la Washindi barani Afrika,Yanga wanaboresha kikosi chao kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa kimataifa wa Yanga waanza mazoezi

Wachezaji wa Yanga wa kimataifa wamewasili, kujiandaa na michuano ya kitaifa na kimataifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam, Yanga zianze mikakati ya kimataifa

MSIMU wa Ligi Kuu ya Tanzania bara 2013/14, umefikia tamati Jumamosi iliyopita kwa timu ya Azam kubeba ubingwa kwa mara ya kwanza tangu walipoanzisha Juni 24, 2007. Mbali ya ubingwa...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga sasa wawazia kimataifa zaidi

YANGA inaongoza Ligi Kuu Tanzania Bara, hali inayompa kiburi Katibu Mkuu wa klabu hiyo kusema kuwa sasa wanajipanga kimataifa zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani