Yanga yaitisha mkutano Juni 1
WAKATI Kocha Mkuu wa Yanga, Hans Plujim akiachana na Yanga baada ya kupata ofa katika timu ya Al Shoala ya Saudi Arabia, klabu hiyo imeitisha mkutano maalumu wa marekebisho ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
YANGA KUIVAA SC VILLA JUNI 27

Na Mwandishi wetu. MABINGWA wa soka wa Tanzania Bara, Yanga, Juni 27, mwaka huu wanatarajia kuvaana na SC Villa ya Uganda katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ukiwa na lengo la kukusanya fedha za kujengea kituo cha watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na walemavu wa ngozi, yaani albino.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika ukumbi wa makao makuu ya Yanga yaliyopo Jangwani, jijini, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Jonas Tiboroha, alisema kuwa...
5 years ago
MichuziDCB KUFANYA MKUTANO WA WANAHISA JUNI 27 JIJINI DAR
Takriban wanahisa 7,000 wa Benki ya DCB wanatarajiwa kufanya Mkutano Mkuu wa Mwaka Jumamosi ya Juni 27 mwaka huu kwa njia ya mtandao.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Godfrey Ndalahwa, amesema hiyo itakuwa ni mara ya kwanza kwa mkutano huo kufanyika kidijitali.
“Ninawakaribisha wanahisa wote katika mkutano huo utakaoanza saa nne asubuhi, utakaotoa fursa kwa Benki na wanahisa kutathimini mkakati wa miaka mitano tuliojiwekea,” anasema Ndalahwa.
Hatua ya...
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Godfrey Ndalahwa, amesema hiyo itakuwa ni mara ya kwanza kwa mkutano huo kufanyika kidijitali.
“Ninawakaribisha wanahisa wote katika mkutano huo utakaoanza saa nne asubuhi, utakaotoa fursa kwa Benki na wanahisa kutathimini mkakati wa miaka mitano tuliojiwekea,” anasema Ndalahwa.
Hatua ya...
11 years ago
GPL
UCHAGUZI MKUU YANGA JUNI 15, 2014
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kikao cha Kamati ya Utendaji kilichoketi tarehe 10 Aprili 2014 Makao Makuu ya klabu kiliazimia kuwa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa YANGA SC utafanyika tarehe 15 Juni 2014. Taarifa za taratibu za Uchaguzi zitatangazwa hapo baadae na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi Mh Alex Mgogolwa. Â Imetolewa: Young Africans SC 14 Aprili,2014. ...
5 years ago
Michuzi
MKUTANO MAALUM WA 41 WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI TAREHE 4 – 5 JUNI, 2020

Mkutano Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki utafanyika tarehe 4 na 5 Juni 2020 kwa njia ya mtandao (Video Conference). Mkutano utafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara uliopo Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.
Mkutano huo Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki, utaanza kwa mkutano wa ngazi ya wataalam tarehe 4 Juni, 2020 na kufuatiwa na mkutano wa ngazi ya Makatibu Wakuu tarehe 5 Juni 2020 na kisha kufuatiwa na mkutano wa Baraza...
10 years ago
MichuziTABATA KISIWANI WAJIANDAA NA SHEREHE ZA UBINGWA WA YANGA JUNI 16 MWAKA HUU.
11 years ago
Michuzi10 Jun
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
CHADEMA yaitisha CCM
UCHAGUZI wa kata 27 za udiwani unaofanyika nchini leo unatarajia kutoa mwelekeo wa uimara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM). CHADEMA ambacho kimeonekana kukipa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-May-2025 in Tanzania