Yanga yamshangaa mwanasheria wake
Klabu ya Yanga imesema kuwa haipingani na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuhusu kumtambua kipa Juma Kaseja kuwa mchezaji wake halali kwa kuwa haikupeleka barua kwenye shirikisho hilo kulitaarifu kuhusu kuachwa kwake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Ikulu yamshangaa Dk Mahanga
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s72-c/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s640/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...
10 years ago
Mtanzania23 May
Yanga yawatuliza nyota wake
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wamepanga kuwatuliza nyota wao kwa kuanzisha mipango endelevu ndani ya klabu hiyo ambayo itawahamasisha na kuwavutia kuendelea kuitumikia timu yao kwa mafanikio msimu ujao.
Kwa sasa Yanga inajiandaa na michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) itakayofanyika Julai, mwaka huu nchini.
Lakini baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Mei 9 mwaka huu, Yanga wameendelea kuvuta subira kwenye usajili...
11 years ago
Michuzi05 May
Taarifa ya Yanga Kuhusu Wachezaji Wake
![](https://1.bp.blogspot.com/-igni6nDOb2c/U2aW4jod9bI/AAAAAAACwWQ/ftwI16f6y80/s1600/Young-Africans-Sports-Club.jpg)
Yanga tayari ina wachezaji watatu wenye mikataba inayoendelea na kama kanuni za...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Yanga yachimba mkwara nyota wake
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Wakongwe: Yanga hailingani na umri wake
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Yanga yazuia nyota wake Stars
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Yanga watoa kali madai ya uwanja wake