Yono kamanda UVCCM
MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Njombe Magharibi, Yono Kevela, ataapishwa kuwa Kamanda mpya wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) wa Wilaya ya Wanging’ombe, Jumamosi hii katika hafla itakayohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa CCM.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Nov
Kingunge kuendelea kuwa Kamanda UVCCM
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), limempitisha mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwilu kuendelea kuwa kamanda wa umoja huo.
11 years ago
MichuziMhe. Kairuki asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Same
11 years ago
Dewji Blog16 Apr
Angellah Kairuki asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Same
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana (UVCCM, Ndg. Sixtus Mapunda akimkabidhiMhe. Angellah Kairuki (MB), Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, nyenzo za vitendea kazi za kimila wakati wakusimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM wa Wilaya ya Same.
Katibu Mkuu wa Umojawa Vijana (UVCCM), Ndg. Sixtus Mapunda akimweleza majukumu ya Kamanda wa Vijana Mhe. Angellah Kairuki kabla ya kusimikwa kuwa Kamanda wa UV CCM wa Wilaya ya Same.
Mhe. Kairuki akila kiapo cha Kamanda Mpya wa UVCCM wa Wilaya ya Same wakati wa...
11 years ago
MichuziTONNY NGOMBALE MWIRU ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA UVCCM
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UHYpsTi4Y0E/default.jpg)
10 years ago
MichuziKAMANDA MSTAAFU WA UVCCM KINONDONI ASHIRIKI KATIKA USAFI WA MAZINGIRA
10 years ago
Mwananchi10 Nov
UVCCM wagoma Pinda kuwa naibu kamanda, kisa urais 2015
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HL09xik6Vxs/VQl6zcJJIfI/AAAAAAAHLR0/4e20zvUdNTc/s72-c/IMG_9720.jpg)
Naibu Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Moshi vijijini ampongeza Rais Kikwete
Naibu Kamanda wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM),Wilaya ya Moshi vijijini,Innocent Melleck amempongeza Rais Jakaya Kikwete na Serikali kwa ujumla kwa kuwajali wananchi wa kijiji cha Mwakata wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga waliopatwa na janga la kubomokewa na nyumba zao kutokana na mvua iliyoambatana na mawe makubwa na upepo mkali.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Melleck amesema kitendo cha Rais Kikwete kuahidi kuwajengea nyumba...