Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YVONNE NELSON AHAMISHIA MAPENZI YAKE KWA MUNGU

Mwigizaji Yvonne Nelson wa Ghana. MWIGIZAJI Yvonne Nelson wa Ghana ambaye aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwimbaji Iyanya wa Nigeria, na baadaye uhusiano wao huo ukavunjika na kumwacha na kile alichokisema majonzi makubwa, amesema amempata mpenzi wake mpya ambaye ni Mungu. Mwigizaji huyo mrembo alisema majuzi: “Mapenzi yangu ya siku nyingi yako kwa Mungu, ambaye amekuwa upande wangu katika furaha na… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Yvonne Nelson; umaarufu unazidisha kasi ya biashara yake

Kadiri siku zinavyosonga mbele sanaa nayo inazidi kuwa chanzo kikubwa cha ajira kwa vijana wengi kutokana na kukubalika kwake huku mashabiki wake wakiongezeka kila kukicha.

 

10 years ago

GPL

IYANYA: MIMI SI WA KWANZA KUMPAGAWISHA YVONNE NELSON

Mwanamuziki wa Nigeria, Iyanya. Lagos, Nigeria
MWIGIZAJI wa kike wa Ghana, Yvonne Nelson, amesema wiki kadhaa zilizopita katika mahojiano kwamba mwanamuziki wa Nigeria, Iyanya, ndiye mtu kwa kwanza ambaye aliuvunjavunja zaidi moyo wake kwa penzi kubwa ambalo alilolionyesha kwake. Mwigizaji wa kike wa Ghana, Yvonne Nelson. Hata hivyo, mwanamuziki huyo alipofanya mahojiano na kituo cha televisheni cha MTV, alisema… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Msanii Lulu aitambulisha filamu yake mpya iitwayo Mapenzi ya Mungu, filamu yaingia sokoni leo

Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga.

IMG_6776

 Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).,Kulia ni Mmoja kati wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MSANII LULU AITAMBULISHA FILAMU YAKE MPYA IITWAYO MAPENZI YA MUNGU LEO.FILAMU YAINGIA SOKONI LEO

 Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga. Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).,Kulia ni Mmoja kati wa wasanii...

 

10 years ago

GPL

MSANII LULU AITAMBULISHA FILAMU YAKE MPYA IITWAYO MAPENZI YA MUNGU LEO.FILAMU YAINGIA SOKONI LEO‏

Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga.
Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo...

 

9 years ago

Bongo5

Belle 9 ahamishia rasmi makazi yake jijini Dar, azitaja sababu zilizomuhamisha kwao Morogoro

Wasanii wengi wa muziki waliopo Dar wametoka mikoani, na ukijaribu kuwauliza sababu za kuhamia Dar hata kama mikoa wanayotoka kuna studio nyingi za kurekodi pamoja na vituo vya radio, wengi wao hutoa sababu za kuja karibu na connection muhimu za media, studio, na wadau muhimu wa muziki. Upande wa Belle 9 sababu hizo hazikumshawishi kwa […]

 

10 years ago

GPL

HAYA NDIYO MAAJABU YAKE MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU

Na Haruni Sanchawa
MTOTO Jacqueline Lepenza, aliyenusurika katika ajali mbaya ya basi lililogongana na lori huko Mafinga mkoani Iringa wiki mbili zilizopita, ameripotiwa kuwa na maajabu baada ya baba yake mzazi kujitokeza na kusimulia, Uwazi linakutaarifu. Jacqueline Lepenza, akiwa na baba'ke. Willy Lupenza, baba mzazi wa mtoto huyo mwenye umri wa miaka mitatu na nusu, alisema marehemu mke wake, Anjela Osward (35) (pichani)...

 

10 years ago

GPL

JOKATE AANIKA MAPENZI YAKE KWA JANUARI, ZITTO NA MILLARD

Leo kwenye safu hii tunaye mwanadada ambaye anaendesha maisha yake kwa kazi mbalimbali zikiwemo uigizaji, muziki, uanamitindo, ujasiriamali na utangazaji. Miss Tanzania namba 2, 2006, Jokate Mwegelo akipozi. Huyu ni Jokate Mwegelo ambaye ni Miss Tanzania namba 2, 2006. Wiki hii yuko hapa kujibu maswali 10 ambayo mwandishi wetu Hamida Hassan alimuuliza na akatoa ushirikiano katika kuyajibu. Ijumaa: Kuna madai kwamba sasa hivi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani