Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZANLINK YAZINDUA UTAMBULISHO WA CHAPA YAKE MPYA

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ZanLink,Sanjay Raja akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua nembo yake mpya.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo yazindua chapa mpya LIVE IT, LOVE IT kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismas

Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja, akizungumza na waandishi wa habari wakati akimkaribisha Meneja Mkuu wa Tigo kuzungumza na wanahabari.

2

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez  (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa  chapa mpya yenye kauli mbinu ya ‘Live it, love it’ itakayoimarisha nafasi ya mbunifu anayeongoza kwa ubunifu wa kidigitali nchini. Kulia ni Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga.

Meneja...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Rihanna afanya utambulisho wa jina na cover ya album yake mpya

Habari njema kwa mashabiki wa Rihanna ni kuwa ‘the wait is almost over’, kwani album ya nane ya mwimbaji huyo mrembo inakaribia kutoka. Jioni ya Jumatano Oct.7 Rihanna ambaye hajatoa album nyingine toka mwaka 2012 alipotoa ‘Unapologetic’, alifanya sherehe fupi ya utambulisho wa album cover pamoja na jina la album yake ya 8 huko Los […]

 

11 years ago

Michuzi

TTCL YAZINDUA HUDUMA YAKE MPYA YA BWERERE.

 Afisa Mkuu wa Masoko na Mauzo TTCL,Bwa.Peter Ngota akionesha kipeperushi chenye taarifa mbalimbali kuhusiana na huduma yao mpya iliyojulikana kwa jina la Bwerere,Kwa waandishi wa habari,huduma hiyo imezinduliwa leo kwenye moja ya ukumbi wa mikutano ndani ya Ofisi za kampuni hiyo,zilizopo makao makuu mtaa wa Samora Jijini Dar.  Baadhi ya Wandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa huduma mpya ya TTCL iliyojulikana kwa jina la Bwerere ,kwenye moja ya...

 

5 years ago

Michuzi

Coral Paints yatangaza mafanikio ikitimizamiaka 30. Yamtangaza Diamond Balozi mpya wa chapa ya Coral

KAMPUNI ya rangi ya Coral Paints imeadhimisha miaka 30 tangu ilipoasisiwa huku ikijivunia ushirika wake katika kukuza uchumi wa wananchi na taifa zima kwa kuwainua mamia ya wajasiliamali nchini.Akizungumza wakati wa hafla ya maadhimisho hayo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Kishan Dhebar, alisema wengi miongoni mwa wajasirimali hao kwa sasa ni mawakala wakubwa wa Coral Paints ndani na nje ya nchi.“Wapo ambao tulianza nao miaka 30 iliyopita na tumekuwa tukitumia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Utambulisho wa filamu mpya: MAISHA NI SIASA!!



MAISHA NI SIASA is a political film that tells a story of sacrifice, patriotism, loyalty, heroism, challenges and the role that bloggers and social media activists play in post­independent African politics and ongoing democratisation process.  Produced by 24Hrs Media, The 7th­Element & Kileleni Production, Directed by Shahid Ansari, the movie is casted by Paul Mashauri, Loue Kifanga, Bahati Chando, Violet Mushi, Godwin Gondwe, Carl Bosser, Hudson Kamoga Zenno kahumba and others.

Maisha...

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi mpya wa Ufaransa awasilisha nakala za Hati za Utambulisho

Balozi mpya wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Malika Berak akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mkuu wa Itifaki Balozi Juma Maharage Mhe. Beraki akiweka saini katika kitabu cha wageni Balozi Malika Berak akizungumza na Balozi Maharage mara baada ya kuwasilsha nakala za Hati za Utambulisho Kushoto ni mkurugenzi msaidizi Idara ya Itifaki Bw. James Bwana, kulia ni Afisa Mambo ya Nje Bi. Mona Mahecha wakifuatilia kwa makini mazungumzo kati ya Balozi Malika Berak na Balozi Maharage 
Picha na...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI MPYA WA MISRI AWASILISHA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (kulia) akimkaribisha Balozi mpya wa Misri, Mhe. Yasser Ahmed Al Eldin Elshawaf katika ofisi yake. Balozi Mpya wa Misri alikuja ofisini kwa Mhe. Waziri kwa ajili ya kuwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mpya wa Misri, Mhe. Yasser Ahmed Al Eldin Elshawaf.
KWA PICHA...

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI UAE AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Mheshimiwa Mbarouk Nassor Mbarouk, tarehe 02/03/2014 aliwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mtukufu Sheikh Mohammed bin Rashid Al Makhtoum, Makamu wa Rais UAE, Waziri Mkuu na Mtawala wa Dubai, jijini Abu Dhabi, UAE. Sherehe hizo zilizofanyika kwenye Kasri ya Al Mushrif, zilihudhuriwa na viongozi mbali mbali wa Kitaifa wa UAE. Balozi wa Tanzania nchini UAE, Mheshimiwa Mbarouk Nassor Mbarouk na Mkuu wa Itifaki...

 

11 years ago

GPL

JAHAZI MODERN TAARAB KUPELEKA UTAMBULISHO WA NYIMBO MPYA MOROGORO

KUNDI la Jahazi Modern Taarab limefafanua ni kwanini limeamua kuuchagua mji wa Morogoro kama kituo chao cha kwanza cha kutambulishia nyimbo zao mpya zitakazounda albam yao mpya ijayo. Jahazi wanatagemewa kufanya onyesho maalum Morogoro kwaajili ya kuwaonyesha nyimbo mpya mashabiki wao Ijumaa ya tarehe 31 mwezi huu ndani ya ukumbi wa Tanzanite Complex. Jana kiongozi wa Jahazi Modern Taraab Mohamed Mauji alifanya mahojiano na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani