Zantel staff meets with Benoit Janin new CEO
Dar es Salaam-November 2,2015: Zantel Tanzania, welcomed Benoit Janin new Chief Executive Officer taking over the reigns from Pratap Ghose.A 17-year telecom industry veteran, Benoit is best known for his tenure as a Tigo Chad CEO, where he successfully led Tigo Chad to experience a significant double-digit growth to become the unchallengeable market leader and also launching 3G and 4G services.
Prior to joining Millicom Group Benoit has worked for almost 3 years in Vimpelcom group...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Zantel Tanzania yamtangaza Benoit Janin kuwa Mkurugenzi mpya
Mkurugenzi mpya wa kampuni ya Zantel, Bwana Benoit Janin akizungumza na wafanyakazi wakati wa hafla ya kumkaribisha.
Kampuni ya simu za mikononi ya Zantel leo imemtangaza bwana Benoit Janin kuwa Mkurugenzi mpya wa kampuni hiyo.
Bwana Janin anachukua nafasi ya Pratap Ghose ambaye ameiongoza kampuni hiyo kwa muda wa miaka mitatu.
Uteuzi wa Janin unafatia kampuni ya Millicom kununua hisa za kampuni ya Zantel ambapo sasa itashirikiana na serikali ya Zanzibar kuhakikisha kampuni ya Zantel inakua...
10 years ago
VijimamboPresident Kikwete meets UNDP Chief of Staff
5 years ago
GIVEMESPORT18 Mar
WWE news: Chris Jericho says Dark Side of the Ring documentary on Chris Benoit won't glorify him
9 years ago
TheCitizen09 Nov
Zantel gets new boss after $1 acquisition
10 years ago
TheCitizen03 Oct
Puzzle over Zantel sale
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Zantel kupunguza ajali za bodaboda
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imetoa msaada wa vikoti maalumu (reflective safety jackets) 1800 kwa waendesha bodaboda mkoani Mwanza, ili kusaidia kupunguza ajali za barabarani. Vikoti hivyo vyenye...
10 years ago
Daily News12 Dec
ZANTEL supports Dar orphanage
Daily News
AS part of involving vulnerable children in year-end holidays, ZANTEL has donated various items to an orphanage in Dar es Salaam. The Kimara Suka based orphanage known as Watoto Wetu Tanzania received foodstuffs including sugar, rice, maize flour, ...
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Bosi Zantel auawa na majambazi
Tunu Nassoro na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MKUU wa Kitengo cha Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Gabriel Raphael, ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi.
Tukio hilo la kusikitisha limegubikwa na utata, hasa baada ya watu hao kumuua mkuu huyo wa mawasiliano ndani ya gari yake na kuchukua bahasha ambayo inadaiwa ilikuwa na nyaraka muhimu na kuacha fedha.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura,...
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Zanzibar kufaidika na ubunifu wa Zantel
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco), imezindua huduma mpya ya kununua umeme wa ‘Tukuza’ kupitia EzyPesa. Akizungumza wakati wa kuzindua huduma...