Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zantel staff meets with Benoit Janin new CEO

 
Dar es Salaam-November 2,2015: Zantel Tanzania, welcomed Benoit Janin new Chief Executive Officer taking over the reigns from Pratap Ghose.A 17-year telecom industry veteran, Benoit is best known for his tenure as a Tigo Chad CEO, where he successfully led Tigo Chad to experience a significant double-digit growth to become the unchallengeable market leader and also launching 3G and 4G services.
Prior to joining Millicom Group Benoit has worked for almost 3 years in Vimpelcom group...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Zantel Tanzania yamtangaza Benoit Janin kuwa Mkurugenzi mpya

IMG_4972

Mkurugenzi mpya wa kampuni ya Zantel, Bwana Benoit Janin akizungumza na wafanyakazi wakati wa hafla ya kumkaribisha.

Kampuni ya simu za mikononi ya Zantel leo imemtangaza bwana Benoit Janin kuwa Mkurugenzi mpya wa kampuni hiyo.

Bwana Janin anachukua nafasi ya Pratap Ghose ambaye ameiongoza kampuni hiyo kwa muda wa miaka mitatu.

Uteuzi wa Janin unafatia kampuni ya Millicom kununua hisa za kampuni ya Zantel ambapo sasa itashirikiana na serikali ya Zanzibar kuhakikisha kampuni ya Zantel inakua...

 

10 years ago

Vijimambo

President Kikwete meets UNDP Chief of Staff

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete meets with the UNDP Chief of Staff Mr.Alberic Kacou at the UN Headquaters in New York this morning.Prior to assuming his current post on 15th January 2014 Mr.Kacou served as UN Representative in Tanzania.The Chairman of the UN High Level Panel On The Global Respinse To Health Crisis, President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete working in his office at the UN Headquarers in New York this morning prior to chairing a series of sessions.The panel was appointed by the UN...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

WWE news: Chris Jericho says Dark Side of the Ring documentary on Chris Benoit won't glorify him

WWE news: Chris Jericho says Dark Side of the Ring documentary on Chris Benoit won't glorify him  GIVEMESPORTChris Jericho On Not Wanting To Glorify Chris Benoit Tragedy With New Documentary  Ringside NewsChris Jericho Discusses Dark Side Of The Ring Involvement  SEScoopsView Full coverage on Google News

 

9 years ago

TheCitizen

Zantel gets new boss after $1 acquisition

Zantel Tanzania now has a new boss as the firm strategizes on the way forward after being acquired by Millicom International.

 

10 years ago

TheCitizen

Puzzle over Zantel sale

>The Board chairman of the Zanzibar Telecom (Zantel), Mr Essa Al Haddad, now says the mobile operator is not looking to sell its business.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zantel kupunguza ajali za bodaboda

KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imetoa msaada wa vikoti maalumu (reflective safety jackets) 1800 kwa waendesha bodaboda mkoani Mwanza, ili kusaidia kupunguza ajali za barabarani. Vikoti hivyo vyenye...

 

10 years ago

Daily News

ZANTEL supports Dar orphanage


ZANTEL supports Dar orphanage
Daily News
AS part of involving vulnerable children in year-end holidays, ZANTEL has donated various items to an orphanage in Dar es Salaam. The Kimara Suka based orphanage known as Watoto Wetu Tanzania received foodstuffs including sugar, rice, maize flour, ...

 

9 years ago

Mtanzania

Bosi Zantel auawa na majambazi

Gabriel+PGOTOTunu Nassoro na Veronica Romwald, Dar es Salaam

MKUU wa Kitengo cha Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Gabriel Raphael, ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi.

Tukio hilo la kusikitisha limegubikwa na utata, hasa baada ya watu hao kumuua mkuu huyo wa mawasiliano ndani ya gari yake na kuchukua bahasha ambayo inadaiwa ilikuwa na nyaraka muhimu na kuacha fedha.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar kufaidika na ubunifu wa Zantel

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco), imezindua huduma mpya ya kununua umeme wa ‘Tukuza’ kupitia EzyPesa. Akizungumza wakati wa kuzindua huduma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani