Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zanzibar yashauriwa kurekebisha Katiba

 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeshauriwa kufanya marekebisho ya Katiba kabla ya Uchaguzi Mkuu Mwaka 2015 ili kuondoa vifungu vinavyogongana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Bunge kurekebisha rasimu ya katiba TZ

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua rasmi shughuli za bunge la kitaifa kuhusu marekebisho ya katiba mjini Dodoma

 

11 years ago

Habarileo

Werema: Bunge la Katiba lina mamlaka kurekebisha Rasimu

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wana mamlaka ya kurekebisha Rasimu ya Katiba lakini hawawezi kuondoa misingi mikuu ya kitaifa na maadili ya kijamii. Aidha, amesema madai ya kuwapo kwa rasimu vya vyama na makundi mbalimbali ni upotoshaji, ila si vyema kuzipiga mateke, bali wajumbe wazisome.

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) WATOA ELIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WANANCHI ZANZIBAR.

 Taswira mbalimbali za kituo cha huduma za sheria9ZLSC) kikitoa elimu ya katiba iliyopendekezwa kwa wananchi Zanzibar.


 

10 years ago

TheCitizen

Why Zanzibar holds new Katiba to ransom

Call it a number game or the tyranny of numbers, but Members of Constituent Assembly (MCAs) from Zanzibar are the ones who hold the key to the final Draft of the proposed Constitution, The Citizen can report today.

 

11 years ago

Habarileo

Zanzibar gumzo Katiba mpya

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph WariobaWAKATI wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakifikiria nani atakuwa Mwenyekiti wao, wasomi karibu 100 waliokutana jana Dar es Salaam, wamejikuta wakiingia katika mjadala wa namna gani Zanzibar itambulike katika Katiba mpya.

 

11 years ago

Habarileo

Katiba ya Zanzibar imekosewa-Pengo

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali PengoWAKATI maandalizi ya Bunge Maalumu la Katiba yakiendelea, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, amesema Katiba ya Zanzibar imekosewa na kosa hilo linahatarisha umoja wa Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya ugaidi haijavunja Katiba ya Zanzibar

Mahakama Kuu ya Zanzibar imesema mashtaka ya ugaidi yanaweza kufunguliwa katika mahakama yoyote baina ya pande mbili za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama ilivyotokea kwa Wazanzibari 14 waliokamatwa Zanzibar na kufunguliwa mashtaka yao Tanzania Bara.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu ataka Katiba ya Zanzibar irekebishwe

Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Karume wakisaini Hati ya Muungano.ASKOFU wa Jimbo Teule la Dodoma la Kanisa la Methodist, Joseph Bundala amesema ili kudumisha Muungano ni vyema Katiba ya Zanzibar irekebishwe.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba Mpya itafungua uchumi wa Zanzibar

Waziri Kiongozi mstaafu, Shamsi Vuai Nahodha amesema milango ya kiuchumi Zanzibar itafungwa kama Katiba Mpya Inayopendekezwa haitapita katika Kura ya Maoni itakayopigwa Aprili 30, mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani