Zari: Tiffah Atakuja Kuwa Raisi Wenu
Kufuatia tabia ya baadhi ya watu kuendelea kumporomoshea maneno machafu mototo wake Tiffah tangu hata hajazaliwa na hadi leo, Zari the boss Lady amewapasha watu hao kuwa Tiffah siku moja atakuaja kuwa rais na watamuheshimu kwani anamlea aje kuwa rais kama Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia.
“Matusi from day one even before she was born. But she is here and strong enough to handle. Boss ladies use bricks thrown at them to build empires. And this right here is my future president in the making...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo531 Dec
Mtukaneni tu Tiffah lakini siku moja atakuja kuwa Rais wenu – Zari
![1390136_571461176335149_767535782_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1390136_571461176335149_767535782_n-1-300x194.jpg)
Watu hawana haya – Kwa mujibu wa Zari the Bosslady, baadhi yao wamekuwa wakimporomoshea matusi mtoto wake aliyezaa na Diamond, Tiffah tangu alipozaliwa.
Lakini Zari ana habari kwa haters! Mrembo huyo wa Uganda anaamini kuwa siku moja watamheshimu mtoto wake sababu anamlea aje kuwa rais kama Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia!
“Matusi from day one even before she was born,” ameandika Zari kwenye Instagram.
“But she is here and strong enough to handle. Boss ladies use bricks thrown at them to...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkTNz-F-b8ZrDoifoKEcJGGdOZ-179aFmW9KrVfrqQAcjssRx1Is--lNxqUnZtNGNMRimpJq7KfmL0epI5BD94G78azYihxg/FRONTWIKIENDA1.gif?width=650)
TIFFAH AWAGOMBANISHA DIAMOND, ZARI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y*wDQ4ub4BkvACp04wRNHq1P0nYATIzPco-sG-4vaZveQ1OrSXpk7*Tkz1-Cpznidk6b5wziZCZNfNr1iQ83S811VWTVICvK/ymCTBkp.jpg?width=650)
DIAMOND: ZARI AMEMHARIBU TIFFAH!
9 years ago
Vijimambo30 Oct
ZARI AMVUA ‘HIRIZI’ TIFFAH
![](http://api.ning.com/files/ITtoOH4FEliZg1kMGVBqFxobUcCMhsCHe6i138Tav-gRIrkcCmSCTUMCJdIDdv2WCBsgIbCNFJd4hlXWuqXVdQzvHeSnSs3P/FrontIjumaa.jpg?width=650)
Na Hamida Hassan
DIAMOND upoo! Zarinah Hassan a.k.a Mama Tiffah amechukua uamuzi mgumu wa kumvua mwanaye Tiffah ile dawa aliyokuwa amefungwa mkononi ‘hirizi’, hali iliyowafanya watu wengi wabaki na vingi viulizo.
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/12132803_1635458573371970_728412592_n1.jpg?width=650)
Mtoto wa staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platinumz, Tiffah.
Awali, Tiffah alivishwa hirizi hiyo siku chache baada ya kuzaliwa na Diamond akaizungumzia kuwa, ni utamaduni wa kawaida ambao kwa mila za Kibongo siyo tatizo.
Hata hivyo, wakati Diamond akitoa ufafanuzi huo baada ya watu...
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Tiffah wa Diamond na Zari awekwa wazi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
SHEREHE za watoto wa mastaa katika fani mbalimbali nchini zinaendelea kushika chati, baada ya mtoto wa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, Lattifah Abdul ‘Tiffah’ kufanyiwa sherehe kubwa jana.
Sherehe hiyo ilifanyika nyumbani kwa msanii huyo Tegeta kama baadhi ya mastaa waliowawahi kuwafanyia sherehe watoto wao walipozaliwa akiwemo, Zamaradi Mketema, Aunt Ezekiel, Mboni Masimba, Hbaba, Flora Mvungi na wengine wengi.
Wazazi wake wameweza kumficha sura...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ITtoOH4FEliZg1kMGVBqFxobUcCMhsCHe6i138Tav-gRIrkcCmSCTUMCJdIDdv2WCBsgIbCNFJd4hlXWuqXVdQzvHeSnSs3P/FrontIjumaa.jpg?width=650)
ZARI AMVUA ‘HIRIZI’ TIFFAH
9 years ago
Bongo519 Aug
Zari asema wataionesha sura ya Tiffah baada ya siku…
9 years ago
Bongo505 Oct
Video: Tazama 40 ya mtoto wa Diamond na Zari (Tiffah’s 40) Part 1
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Tiffah alivyoiongezea furaha familia ya Zari Afrika Kusini