ZEC yatowa ufafanuzi wa Daftari la Wapigakura
Watu 7,743, hawatapiga kura Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mh. Jecha Salim Jecha akiwasilisha Taarifa kuhusu maandalizi ya uchaguzi Mkuu 2015 Zanzibar: Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema mchakato mzima wa kuhakiki taarifa katika […]
The post ZEC yatowa ufafanuzi wa Daftari la Wapigakura appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Daftari la Wapigakura kuboreshwa
9 years ago
Habarileo16 Oct
Chadema yazungumzia daftari la wapigakura
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuchukua hatua za haraka kurekebisha makosa yaliyojitokeza katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
10 years ago
Habarileo21 Dec
Serikali yaonya daftari la wapigakura
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) William Lukuvi, ameonesha kutoridhishwa na utaratibu mbovu unaotumika kuandikisha wananchi katika daftari la kudumu la wapiga kura, kutokana na kuwa na mianya inayoweza kuingiza wasio raia wa Tanzania.
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Daftari la wapigakura D’Salaam kizungumkuti
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Nec: Daftari la wapigakura litaboreshwa
10 years ago
Habarileo23 Sep
Daftari la Wapigakura kuboreshwa mwakani
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema uboreshaji wa Daftari la Wapigakura umechelewa kuanza kutokana na kuchelewa kuagiza vifaa vya kufanya kazi hiyo kwa wakati, hivyo kazi hiyo sasa itafanyika mapema mwakani.
10 years ago
Habarileo03 May
RC ahimiza kujiandikisha daftari la wapigakura
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe amewahimiza wananchi wenye sifa wakiwemo wafanyakazi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Silaa: Jiandikisheni Daftari la Wapigakura
10 years ago
Habarileo12 Feb
NEC, wanasiasa kujadili daftari la wapigakura
WAKATI Uandikishaji katika daftari la Kudumu la Wapiga Kura, unatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu ya wiki ijayo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo inakutana na Vyama vya siasa kujadili mchakato huo.