Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZEE LA NYETI: Blaza ukichakarika, ishu zinaitika

>Moja kati ya ishu za kijinga nilizokuwa nazo wakati nikiwa mdogo ni zile za kuonewa asubuhi na kuja kulia jioni nikiona maza anarudi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

ZEE LA NYETI: Watu wasikuzingue, piga ishu jikunjue!

>Bongo haina jema mwanangu mwenyewe, tunaishi tu kwa sababu ndiyo michongo ilipo lakini adhawaizi mwanenu ningeshajitupa Rufiji longtaimu nikakieleweshe mbele kwa mbele, ila sasa nikienda Rifiji jiji namwachia nani mimi mwanadarisalama?

 

11 years ago

Mwananchi

ZEE LA NYETI: Ishu huziwezi, waachie wajuzi wa kazi hizo

>Mwezi huu wa pili, ushasepa kudadaddeki, tunaelekea Machi, watu neksti wiki tutakuwa tunaongea ishu zingine. Wanangu wa mikoani kaeni fresh, blaza anaanza misele vere suni, tutakuwa tukipeana ratiba za hizi bata, uongo?

 

11 years ago

Mwananchi

ZEE LA NYETI: Haina kulaumiana, unachonga sana

>Watoto wa uswahilini wanazingua wewe, hivi ushawahi kumzukia mshkaji wangu mitaa ya uswazi ukashuhudia mishemishe za mademu wa kiswazi, a.k.a vitu vya kienyeji?

 

11 years ago

Mwananchi

ZEE LA NYETI: Pale unapojishtukia ndipo watu wanapokupigia

>Mwanangu, siku ya nne leo sijakatiza mitaa ya Kariakoo. Najua mvua ishazingua sana kitaa kile,  watu wameshaachia chemba zao, utawaeleza nini kudadadeki. Nawaachia wanangu akina Suma lee wanipe ripoti, kitu kikishakuwa drai, ntaibuka kuendeleza mitikasi kama kawaida.

 

11 years ago

Mwananchi

ZEE LA NYETI: Kila kwenye kula, kuliwa kunahusika

>Kuna mchongo nimeletewa na wana, uko mtandaoni, unaambiwa kuna websaiti ukijiunga hiyo, kila anayejiunga baada yako, ni mkwanja,  nataka niingie kwenye huu mchongo ila nina wasiwasi kidogo, sijui mbele kuna mizingulizi kudadadeki?

 

11 years ago

Mwananchi

ZEE LA NYETI: Mambo mengi siyo mpango, tuchague michongo!

>Nimeshtukia ukiwa unamiksi sana mambo, hata laifu yako mwenyewe inajimiksi kimtindo. Hujachunguza? Unakuwa fulani hujatulia tu. Unajua nini? Unakuwa mtu fulani hueleweki, mara umeshika hiki mara kile, mwenyewe unajiona jembe kumbe unajilostisha. Hujawashtukia wanetu dizaini hizi?

 

10 years ago

Mwananchi

ZEE LA NYETI: ...kama vipi bora mkoa, bongo ishaanza kuboa

Ebwana heri ya mwaka mpya, najua utakatiza tu kwa rehema zake Mwenyezi Mungu, inshaallah..

 

10 years ago

Mwananchi

Blaza usipende bwerere, zitakuletea kwere

Mi niko sawa kitaani kwangu leo nazuga tu, naangalia kushoto na kulia, kama ishu zitanikalia sawa nisepetukie mitaa ya kati nikaone kama kuna michongo ama nini.

 

11 years ago

GPL

SANGOMA AMFYEKA MTOTO NYETI

Stori: Haruni Sanchawa
NI jambo lililowaacha midomo wazi madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam ambapo mtoto Almasi mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi (pichani akiwa na muuguzi) kufikishwa hospitalini hapo akiwa amekatwa nyeti na mtu aliyedaiwa ni mganga wa kienyeji ‘sangoma’ na kuipeleka kusikojulikana. Mtoto Almasi mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi akiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani