Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ziara Ya Waziri Mkuu TPA akuta Makontena mengine 2,431 yamepotea.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi kumi wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA kupisha uchunguzi wa upotevu wa makontena 2,431 yaliyopita chini ya Mamlaka ya Bandari bila kulipiwa kodi kati ya Machi na Septemba mwaka 2014.

Hatua hii inakuja baada ya ziara ya ghafla ya Waziri Mkuu bandarini ambapo amezungukia idara mbalimbali.

Pamoja na hatua hiyo Waziri Mkuu ametaka majina ya vigogo waliohusika na uondoshwaji wa makontena hayo kumfikia kabla ya saa kumi na moja jioni ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AVAMIA TENA BANDARINI NA TRL,AKUTA MAKONTENA 2431 YEMETOKA BILA KULIPIWA KODI.

  Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua bandari ya Dar es salaam  Desemba 3, 2015 ambako alikwenda kupata ukweli kuhusu makontena 2,431 yaliyopitia kwenye bandari hiyo bila kulipiwa kodi ya serikali.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mfumo wa kukagua makontena bandarini kwa kutumia scaner huku akipata maelzo kutoka kwa Ofisa wa forodha, January Shauri wakati alipotembelea bandari ya Dar es salaam Desemba 3, 2015  kutaka kujua ukweli wa tuhuma za...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu atinga tena bandarini na TRL, akuta makontena 2431 yametoka bila kulipiwa kodi!!

IMGS3737

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua bandari ya Dar s salaam  Desemba 3, 2015 ambako alikwenda kupata ukweli kuhusu makontena 2,431 yaliyopitia kwenye bandari hiyo bila kulipiwa kodi ya serikali.  (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya ziara nyingine ya kushtukiza bandarini na kukagua mfumo wa upokeaji na utoaji mizigo na utozaji wa malipo baada ya kupewa taarifa kwamba kuna makontena 2,431 yametolewa bila kulipiwa ushuru.

Waziri Mkuu alisema kwa mujibu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Sakata la makontena 2,431 laibua mazito

Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (Taffa), kimedai kuwa ‘mchezo’ wa kutoa makontena 2,431 bandarini bila kulipiwa tozo ya utumiaji wa bandari umefanywa na baadhi ya watendaji wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na baadhi ya wafanyakazi wa benki za CRDB na NMB zenye mikataba na mamlaka hiyo.

 

9 years ago

Mtanzania

Makontena yaliyokwepa kodi zafika 2,431

IMGS3818NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amefanya tena ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam na kubaini kuwa idadi ya makontena yaliyotolewa bila kulipa kodi ya Serikali yamefika 2,431.

Novemba 27, Majaliwa alifanya ziara kama hiyo bandarini hapo na kubaini kuwapo makontena 349 yaliyotoroshwa bila kulipiwa kodi.

Mbali na hilo, alimtaka Kaimu Meneja wa Bandari, Hebel Mhanga, hadi kufikia jana saa 11 jioni, kumpelekea ofisini kwake majina ya watumishi wote...

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa anasa makontena mengine 2,400

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amefanya ziara nyingine ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam na kukagua mfumo wa upokeaji na utoaji mizigo na utozaji wa malipo baada ya kupewa taarifa kwamba kuna makontena 2,431 yametolewa bila kulipiwa ushuru.

 

9 years ago

Mwananchi

TPA yakomalia wamiliki wa makontena tisa Dar

Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Ben Usaje amesema kuwa watu waliosafirisha makontena tisa na kuyahifadhi sehemu isiyo rasmi wamekiuka taratibu.

 

9 years ago

Bongo5

Hawajakoma bado: Makontena mengine 2431 yapita bandarini bila kulipiwa kodi

4

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametembelea bandarini na shirika la reli Tanzania(TRL).

4

Akiwa bandarini amekagua mfumo wa utoaji na uingizaji mizigo bandarini. Katika maongezi ya awali meneja wa bandari alimuhakikishia kuwa mfumo hauruhusu kontena kuibiwa lakini waziri mkuu alienda na ripoti ya ukaguzi na kumuonyesha majina ya waliopitisha makontena zaidi 2431 bila kulipiwa kodi.

3

Amempa muda wa masaa matatu hadi saa kumi na mbili jioni aambiwe hatua zilizochukuliwa kwa wahusika kwa sababu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu aitaka TPA kupitia upya zoezi la fidia kwa wananchi wa Kigoma

Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majariwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari (Picha na Emmanuel Senny) (2)

Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari. (Picha na Emmanuel Senny).

Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majariwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari (Picha na Emmanuel Senny)

Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akikagua soko jipya la samaki lililoko kata ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji baada ya kulifungua. (Picha na Emmanuel Senny) (1)

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akikagua soko jipya la samaki lililoko kata ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji baada ya...

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI SABA WA TPA MBARONI KWA UPOTEVU WA MAKONTENA MPYA 11,884 NA MAGARI 2,019... WANANE WATOROKA

Waziri wa Uchukuzi, Ujenzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa. Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiBAADA ya  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  kufanya ziara  katika Mamlaka ya Bandari Nchini (TPA) na kubaini uondoshwaji wa wa kontena 329   bila kulipiwa kodi zaidi ya sh.bilioni 12,  Mawakala wa Forodha walifanya ukaguzi  kuona kama kuna upotevu wa mapato  na kubaini jumla ya kontena 11,884 na magari 2019 yalitolewa bila malipo.Makontena hayo yalitolewa katika bandari kavu ni MOFED 61, DICD 491,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani