Ziara Ya Waziri Mkuu TPA akuta Makontena mengine 2,431 yamepotea.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi kumi wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA kupisha uchunguzi wa upotevu wa makontena 2,431 yaliyopita chini ya Mamlaka ya Bandari bila kulipiwa kodi kati ya Machi na Septemba mwaka 2014.
Hatua hii inakuja baada ya ziara ya ghafla ya Waziri Mkuu bandarini ambapo amezungukia idara mbalimbali.
Pamoja na hatua hiyo Waziri Mkuu ametaka majina ya vigogo waliohusika na uondoshwaji wa makontena hayo kumfikia kabla ya saa kumi na moja jioni ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AVAMIA TENA BANDARINI NA TRL,AKUTA MAKONTENA 2431 YEMETOKA BILA KULIPIWA KODI.
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Waziri Mkuu atinga tena bandarini na TRL, akuta makontena 2431 yametoka bila kulipiwa kodi!!
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua bandari ya Dar s salaam Desemba 3, 2015 ambako alikwenda kupata ukweli kuhusu makontena 2,431 yaliyopitia kwenye bandari hiyo bila kulipiwa kodi ya serikali. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya ziara nyingine ya kushtukiza bandarini na kukagua mfumo wa upokeaji na utoaji mizigo na utozaji wa malipo baada ya kupewa taarifa kwamba kuna makontena 2,431 yametolewa bila kulipiwa ushuru.
Waziri Mkuu alisema kwa mujibu wa...
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Sakata la makontena 2,431 laibua mazito
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Makontena yaliyokwepa kodi zafika 2,431
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amefanya tena ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam na kubaini kuwa idadi ya makontena yaliyotolewa bila kulipa kodi ya Serikali yamefika 2,431.
Novemba 27, Majaliwa alifanya ziara kama hiyo bandarini hapo na kubaini kuwapo makontena 349 yaliyotoroshwa bila kulipiwa kodi.
Mbali na hilo, alimtaka Kaimu Meneja wa Bandari, Hebel Mhanga, hadi kufikia jana saa 11 jioni, kumpelekea ofisini kwake majina ya watumishi wote...
9 years ago
Habarileo04 Dec
Majaliwa anasa makontena mengine 2,400
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amefanya ziara nyingine ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam na kukagua mfumo wa upokeaji na utoaji mizigo na utozaji wa malipo baada ya kupewa taarifa kwamba kuna makontena 2,431 yametolewa bila kulipiwa ushuru.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
TPA yakomalia wamiliki wa makontena tisa Dar
9 years ago
Bongo504 Dec
Hawajakoma bado: Makontena mengine 2431 yapita bandarini bila kulipiwa kodi
![4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/4-300x194.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametembelea bandarini na shirika la reli Tanzania(TRL).
Akiwa bandarini amekagua mfumo wa utoaji na uingizaji mizigo bandarini. Katika maongezi ya awali meneja wa bandari alimuhakikishia kuwa mfumo hauruhusu kontena kuibiwa lakini waziri mkuu alienda na ripoti ya ukaguzi na kumuonyesha majina ya waliopitisha makontena zaidi 2431 bila kulipiwa kodi.
Amempa muda wa masaa matatu hadi saa kumi na mbili jioni aambiwe hatua zilizochukuliwa kwa wahusika kwa sababu...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Waziri Mkuu aitaka TPA kupitia upya zoezi la fidia kwa wananchi wa Kigoma
Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari. (Picha na Emmanuel Senny).
Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akikagua soko jipya la samaki lililoko kata ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji baada ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OrT7_vcdnlM/VoJ6PoavlkI/AAAAAAAIPMA/NEJFsBODF00/s72-c/mabarawa-dec19-2013.jpg)
WAFANYAKAZI SABA WA TPA MBARONI KWA UPOTEVU WA MAKONTENA MPYA 11,884 NA MAGARI 2,019... WANANE WATOROKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OrT7_vcdnlM/VoJ6PoavlkI/AAAAAAAIPMA/NEJFsBODF00/s640/mabarawa-dec19-2013.jpg)