Zimbabwe yauza Tembo wake China
Tembo ishirini na wanne wadogo wamesafirishwa hadi China na kuuzwa kwa takriban dola elfu arobaini kila mmoja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yGvFjTmg6wA/VnEFuAucydI/AAAAAAABqcI/RN70g2R3B9I/s72-c/YAO%2BMING.jpg)
BEI YA MENO YA TEMBO YAANGUKA NCHINI CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-yGvFjTmg6wA/VnEFuAucydI/AAAAAAABqcI/RN70g2R3B9I/s640/YAO%2BMING.jpg)
Taarifa mpya ya utafiti uliofanywa na watafiti Esmond Martin na Lucy Vigne wa shirika la Save the Elephants na kutolewa wiki hii imeainisha kwamba bei za meno ya tembo ghafi nchini China zimeshuka kwa zaidi ya nusu katika kipindi cha miezi...
10 years ago
StarTV04 Mar
Tanzania yaipongeza China kudhibiti biashara meno ya Tembo.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Serikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa zote zitokanazo na meno ya Tembo kutoka sehemu yoyote duniani kwa kipindi cha mwaka mmoja kwa kusema hatua hiyo itasaidia kumaliza mauaji ya wanyama hao.
Uamuzi huo wa China unatokana na ushawishi wa Viongozi wa Afrika chini ya Rais Jakaya Kikwete na mataifa washiriki duniani ya Amerika, Ujerumani, Jumuiya ya Ulaya, Uingereza na Serikali ya...
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/15DD/production/_84079550_79906266.jpg)
Zimbabwe elephants flown to China
10 years ago
Vijimambo05 Aug
Meno ya Tembo yakamatwa Zurich yakitokea Tanzania kwenda China
Confiscated Ivory displayed at Zurich Airport in Kloten on Tuesday, Aug. 4 , 2015. Swiss authorities say customs officials at Zurich airport have seized 262 kilograms (578 pounds) of ivory that three Chinese men had dispatched from Tanzania. Switzerland's customs authority said Tuesday that the ivory — found during a security check on July 6 and packed in eight suitcases — had an estimated black market value of about 400,000 francs (US $413,000). (Walter Bieri/Keystone via AP)
BERLIN (AP) —...
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Zimbabwe kuuzia China wanyamapori wengi
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77267000/jpg/_77267892_77267722.jpg)
VIDEO: China welcomes Zimbabwe's Mugabe
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Tembo amuua mlinzi wake Marekani
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Pesa ya China inaruhusiwa kutumika Zimbabwe? Kilichonifikia ni hiki..
Kwa kipindi kirefu Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe hajawa kwenye uhusiano mzuri na nchi za Ulaya na Marekani… upande wa pili Rais huyo amekuwa rafiki mkubwa sana na nchi ya China, na ndiko misaada mingi inakotokea kuingia Zimbabwe. Vichwa vya habari za kimataifa kwenye mitandao mikubwa vimeandika kwamba huenda Zimbabwe wakahalalisha pesa ya China ianze […]
The post Pesa ya China inaruhusiwa kutumika Zimbabwe? Kilichonifikia ni hiki.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-TvtjATarc3E/VV2gn8lISZI/AAAAAAADnyg/7OJUzCYyrLE/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAKU WA RAIS WA CHINA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-TvtjATarc3E/VV2gn8lISZI/AAAAAAADnyg/7OJUzCYyrLE/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l0xuDIUQ6hw/VV2gpk85GTI/AAAAAAADny4/3uqiJLjSF2Q/s640/3.jpg)