Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zimbabwe yauza Tembo wake China

Tembo ishirini na wanne wadogo wamesafirishwa hadi China na kuuzwa kwa takriban dola elfu arobaini kila mmoja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

BEI YA MENO YA TEMBO YAANGUKA NCHINI CHINA

Pamoja na kupanda kwa bei za pembe za ndovu kuanzia mwaka 2010 kufikia mwaka 2014, thamani ya meno ya tembo imeshuka kwa kiasi kubwa nchini China jambo ambalo ni habari njema kwa Tanzania katika harakati zake kukomesha ujangili wa pembe za ndovu. 
Taarifa mpya ya utafiti uliofanywa na watafiti Esmond Martin na Lucy Vigne wa shirika la Save the Elephants na kutolewa wiki hii imeainisha kwamba bei za meno ya tembo ghafi nchini China zimeshuka kwa zaidi ya nusu katika kipindi cha miezi...

 

10 years ago

StarTV

Tanzania yaipongeza China kudhibiti biashara meno ya Tembo.

Na Immaculate Kilulya,

Dar es Salaam.

 

Serikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa zote zitokanazo na meno ya Tembo kutoka sehemu yoyote duniani kwa kipindi cha mwaka mmoja kwa kusema hatua hiyo itasaidia kumaliza mauaji ya wanyama hao.

 

Uamuzi huo wa China unatokana na ushawishi wa Viongozi wa Afrika chini ya Rais Jakaya Kikwete na mataifa washiriki duniani ya Amerika, Ujerumani, Jumuiya ya Ulaya, Uingereza na Serikali ya...

 

10 years ago

BBC

Zimbabwe elephants flown to China

At least 20 elephants from Zimbabwe are transported to China to be settled in a game reserve, after a controversial sale.

 

10 years ago

Vijimambo

Meno ya Tembo yakamatwa Zurich yakitokea Tanzania kwenda China


The Associated Press
Confiscated Ivory displayed at Zurich Airport in Kloten on Tuesday, Aug. 4 , 2015. Swiss authorities say customs officials at Zurich airport have seized 262 kilograms (578 pounds) of ivory that three Chinese men had dispatched from Tanzania. Switzerland's customs authority said Tuesday that the ivory — found during a security check on July 6 and packed in eight suitcases — had an estimated black market value of about 400,000 francs (US $413,000). (Walter Bieri/Keystone via AP)

BERLIN (AP) —...

 

9 years ago

BBCSwahili

Zimbabwe kuuzia China wanyamapori wengi

Waziri wa mazingira Oppah Muchinguri amesema wanyamapori wengi huenda wakaangamia kutokana na kiangazi pamoja na ujangili

 

10 years ago

BBC

VIDEO: China welcomes Zimbabwe's Mugabe

China has given the Zimbabwean president a warm reception on his five-day visit there.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tembo amuua mlinzi wake Marekani

Vetenari James Laurita, aliyekuwa na umri wa miaka 56 alikanyagwa na Tembo kifuani kwa bahati mbaya na kufariki

 

9 years ago

MillardAyo

Pesa ya China inaruhusiwa kutumika Zimbabwe? Kilichonifikia ni hiki..

Kwa kipindi kirefu Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe hajawa kwenye uhusiano mzuri na nchi za Ulaya na Marekani… upande wa pili Rais huyo amekuwa rafiki mkubwa sana na nchi ya China, na ndiko misaada mingi inakotokea kuingia Zimbabwe. Vichwa vya habari za kimataifa kwenye mitandao mikubwa vimeandika kwamba huenda Zimbabwe wakahalalisha pesa ya China ianze […]

The post Pesa ya China inaruhusiwa kutumika Zimbabwe? Kilichonifikia ni hiki.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAKU WA RAIS WA CHINA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. 'Peoples Great Hall', jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo. jana Mei 20, 2015.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani