Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zipa yaingiza hasara ya Sh12.8 milioni

Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar (Zipa) imepata hasara ya Sh612.8 milioni baada ya kutumia gharama kubwa za uendeshaji ikilinganishwa na bajeti yake ya mwaka wa fedha 2012/13, imefahamika visiwani hapa jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kahawa ya 2014/15 yaingiza Dola 135 milioni za Marekani

Kahawa ya Tanzania iliyouzwa kwenye soko la dunia kupitia mnada wa Moshi mwaka 2014/2015, imeliingizia Taifa Dola 135.7 milioni za Marekani.

 

10 years ago

Mtanzania

DED kizimbani kwa kusababisha hasara ya milioni 24/-

Na Lushishi Robert, Serengeti

TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mara, imemfikisha mahakamani Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, Goody Kitambo kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na kuisababisha Serikali hasara ya Sh milioni 24.5.

Kitambo alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti akituhumiwa kwa kosa la kutumia vibaya madaraka yake ikiwa ni pamoja na kukiuka sheria ya ununuzi wa umma kwa kuelekeza magari ya halmashauri ya wilaya hiyo...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco Mwanga yapata hasara ya Sh150 milioni

Shirika la Umeme (Tanesco) wilayani Mwanga limepata hasara ya zaidi ya Sh151.2 milioni kwa kipindi cha miezi miwili kutokana na uharibifu wa miundombinu ya nishati hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wezi wa umeme waitia hasara Tanesco Sh200 milioni

Shirika la Umeme nchini (Tanesco) Mkoa wa Arusha, limepata hasara ya zaidi ya Sh200 milioni kuanzia Januari hadi Desemba mwaka huu, kutokana na wizi wa kujiunganishia umeme unaofanywa na baadhi ya watu.

 

9 years ago

StarTV

Tanesco watangaza kupata hasara ya Shilingi milioni 200 kutokana na Wizi Wa Umeme

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni 200 kwa wateja wake zaidi ya 50 waliojiunganishia Umeme kinyume cha sheria kwenye maeneo ya Msasani, Kigamboni na Oysterbay Jijini Dar Es Salaam hali ambayo imesababisha kushuka kwa ufanisi wa utendaji kazi wa shirika hilo.

Katika operesheni ya kukagua nyumba zilizojiunganishia umeme kinyume cha sheria shirika hilo limekagua jumla ya nyumba 2,200 katika kipindi cha wiki moja na kubaini madudu hayo.

Katika...

 

10 years ago

TheCitizen

PCCB has saved Sh12.6bn: Minister

Mr Mkuchika said PCCB had recorded a remarkable achievement in the war against graft insisting that it was the reason it managed to save that money.

 

10 years ago

TheCitizen

Sh12 billion to broaden solar power supply

>An off-grid power company has secured nearly Sh12 billion in funding to extend solar power connection to both urban and rural homes in Tanzania, it was announced on Monday.

 

11 years ago

TheCitizen

Sh12.8tr award for US embassy blast victims

>A US court has raised the amount of compensation to victims of the US embassy bombing in Dar es Salaam and Nairobi to a staggering $8 billion (Sh12.8 trillion).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani