‘Zipo dalili za kuwepo gesi Moro, Pangani’
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amesema zipo dalili njema za kugundua gesi katika maeneo mengine nchini baada ya kugundulika kwa gesi asilia futi za ujazo trilioni 55.08 katika mikoa ya Lindi, Mtwara na Pwani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo522 Oct
T.I: Tanzania ilikuwa mzuka, sikuona dalili yoyote ya kuwepo Ebola
9 years ago
Bongo504 Dec
Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo
![Belle99](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Belle99-300x194.jpg)
Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.
What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya
— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015
Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...
9 years ago
StarTV21 Aug
Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa
Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.
Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...
9 years ago
Habarileo04 Oct
‘Ilani zinazotekelezeka zipo CCM’
MGOMBEA Udiwani wa Kata ya Kivukoni, Henry Massaba (CCM) amewataka Watanzania kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa ndicho pekee kinachotoa ilani zinazotekelezeka.
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Zipo wapi kumbukumbu za Yanga, Simba?
10 years ago
Michuzi‘Amana za wateja zipo salama’-NBC
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Simba, Yanga zipo kila kona
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oP9jY3vTo1k/U80OiJJ3o-I/AAAAAAAAVXw/ft3pVAD12GU/s72-c/aaaa.jpg)