Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Zipo dalili za kuwepo gesi Moro, Pangani’

WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amesema zipo dalili njema za kugundua gesi katika maeneo mengine nchini baada ya kugundulika kwa gesi asilia futi za ujazo trilioni 55.08 katika mikoa ya Lindi, Mtwara na Pwani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

T.I: Tanzania ilikuwa mzuka, sikuona dalili yoyote ya kuwepo Ebola

Baada tu ya kutua Marekani akitokea Tanzania, waandishi wa habari wa TMZ walimtime kwenye uwanja wa ndege na kumuuliza suala ya kusuluhisha beef ya Iggy Azalea na Snoop Dogg pamoja na show yake ya Dar es Salaam. How was Tanzania man?” mwandishi wa TMZ aliuliza na T.I. kujibu: It was awesome man, it was an […]

 

9 years ago

Bongo5

Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo

Belle99

Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.

Belle99

What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya

— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015

Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...

 

9 years ago

StarTV

Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa

Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.

Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.

Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...

 

9 years ago

Habarileo

‘Ilani zinazotekelezeka zipo CCM’

MGOMBEA Udiwani wa Kata ya Kivukoni, Henry Massaba (CCM) amewataka Watanzania kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa ndicho pekee kinachotoa ilani zinazotekelezeka.

 

10 years ago

Mwananchi

Zipo wapi kumbukumbu za Yanga, Simba?

Mchezo wa soka una nguvu ya kuunganisha watu wenye tamaduni tofauti, makabila, rangi na dini kwa sababu ndiyo unaopendwa na watu wengi sehemu mbalimbali duniani.

 

10 years ago

Michuzi

‘Amana za wateja zipo salama’-NBC

 Kaimu Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Jimmy Myalize (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo akitoa ufafanuzi wa tatizo la huduma za kibenki kupitia mtandao wa simu za mkononi (Mobile Banking) ambapo alisema licha ya tatizo hilo hakuna hata senti moja ya mteja wao iliyopotea. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rukia Mtingwa. Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Rukia Mtingwa (kulia)...

 

9 years ago

Mwananchi

Simba, Yanga zipo kila kona

Simba na Yanga hazitokutana kwenye mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu msimu ujao, lakini ratiba iliyotolewa jana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ni kama imezichonganisha timu hizo mbili kongwe na kubwa kwa soka la Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani