Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZUNGU ASISITIZA MATUMIZI YA MIFUKO MBADALA ILIYOKIDHI VIWANGO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu akionyesha mifuko mbadala isiyokuwa na nembo na hairuhusiwi kutumika hapa nchini (kulia) na kulia ni Mifuko yenye Nembo inayoruhusiwa kutumika hapa nchini.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu, akiongea na watendaji na Menejimenti ya Mwananchi Communications Limited (MCL) Francis Nanai.

Na Lulu Mussa Dar es SalaamWaziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU AKUTANA NA WADAU WA NISHATI MBADALA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiongea na ujumbe kutoka Oryx gas Tanzania waliomtembelea Ofisini kwake Luthuli jijini Dar es Salaamikiwa ni maongezi juu matumizi ya gesi katika kupunguza wimbi la ukataji miti.  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiwa katika mazungumzo na ujumbe wa Kampuni ya Burn Stove kutoka Kenya ambao walimtebelea Ofisini kwake Luthuli jijini Dar es Salaam ikiwa ni kwa ajili...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA ASISITIZA WANANCHI BAGAMOYO KUJIUNGA NA MIFUKO YA AFYA YA JAMII

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwapungia mkono wakazi wa Bagamoyo wakati wakiwasili kwenye uwanja wa mkutano wa shule ya Msingi Jitegemee. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimpa mkono wa pongezi mshahiri maarufu wa CCM mkoa wa Pwani Ndugu Ali Pongwe baada ya kutoa ushairi mzuri kabla ya kuanza kwa mkutano. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Magomeni wilaya ya Bagamoyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya dawa asilia kama tiba mbadala (2)

Napenda kufafanua kuwa maelezo yangu kuhusu dawa asilia hayana uhusiano wowote na masuala ya tiba yanayoshughulikiwa na waganga wa kienyeji wanaotumia mazingaombwe, ushirikina, mizimu, mashetani na mambo kama hayo.

 

10 years ago

Habarileo

Asisitiza matumizi ya takwimu sahihi

WATANZANIA wametakiwa kutumia takwimu sahihi kuanzia ngazi ya vijiji kwa lengo la kutathmini mipango ya maendeleo huku wakionywa kutotumia takwimu zisizo sahihi kwani zitasababisha matokeo yasiyo sahihi na kuathiri jamii.

 

10 years ago

Habarileo

Sefue asisitiza matumizi ya sayansi, teknolojia

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni SefueKATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema ili nchi iweze kuendelea ni lazima iwekeze katika sayansi, teknolojia na ubunifu na kuhamasisha vijana kuwa wavumbuzi wa mambo.

 

10 years ago

Habarileo

RC asisitiza wananchi kusomewa mapato na matumizi

Mkuu Mkoa wa Singida, Dk Parseko KoneSERIKALI za vijiji mkoani Singida zimetakiwa kuwasomea wananchi wake kwa mujibu wa taratibu taarifa za mapato na matumizi ya makusanyo mbalimbali wanayofanya ili kuondoa malalamiko yoyote yasiyo ya lazima.

 

9 years ago

GPL

MWANASHERIA WA WIZARA YA MAWASILIANO ASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO

Mwanasheria wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia (MCST), Eunice Masigata akitoa ufafanuzi kwenye kikundi juu ya matumizi sahihi ya sheria za mitandao. Baadhi ya wananchi na wanahabari wakimsikiliza kwa makini.…

 

11 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA SENSA YA WATU NA MAKAZI ASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI

Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi Bi. Hajjat Amina Mrisho Said (katikati) akizungumza na Wadadisi wa Utafiti wa Watu Wenye Uwezo wa Kufanya Kazi wa mwaka 2014 kwa Kanda ya kasikazini inayojumuisha mikoa ya Tanga, Arusha, Kilimanjaro na Manyara. Kulia kwake ni Opio Mamu Msimamizi wa mafunzo katika kanda hiyo na kushoto kwake ni Juma Shaban Meneja Takwimu, Ofisi ya Taifa ya Takwimu mkoa wa Manyara. Wadadisi wa Utafiti wa Watu Wenye Uwezo wa Kufanya Kazi wa mwaka 2014 kwa Kanda ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani