Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


2015 NA MPENDE AKUPENDAE, ALIYEKULIZA 2014 AENDE ZAKE!

Tunakutana tena kupitia safu hii namba moja kwa kuandika makala kali zinazogusa maisha yetu ya kimapenzi. Ni matumaini yangu kwamba u-mzima na kwa wale wakristo wenzangu nina imani mnaendelea vyema na maandalizi ya Sikukuu ya Christmas. Mpenzi msomaji wangu, tunaukaribia mwaka mpya wa 2015. Endapo tutakuwa miongoni mwa wale watakaouona mwaka huo tukiwa wazima, kwanza ni lazima tumshukuru Mungu. Tutakuwa na kila sababu ya kufanya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

USIHUZUNIKE KWA KUACHWA, UTAMPATA AKUPENDAE

MARA nyingi baadhi ya wapenzi wanaoachwa na wenza wao wamejikuta wakigeuka kuwa watu wa huzuni katika sehemu kubwa ya maisha yao baada ya kuachwa. Huzuni hiyo husababisha wengine kupunguza ufanisi wao wa kazi, wakati mwingine humfanya mtu kuwa dhaifu katika maamuzi na fikra zake, huku wengine wakijiona kana kwamba hawana thamani kabisa katika huu ulimwengu.
Inafikia wakati, wengine huchukia watu wa jinsia ile iliyowatenda,...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

SWAGGER BOY WA WEEK MPENDE MWANAO

Swagger boy wa week ndiyo huyu hapa anapatika pande za Tanga Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

AGGREY :MSUVA AENDE ULAYA TU

 Msuva ni mcheza muhimu sana kwenye timu ya Yanga lakini kutokana na viongozi wa timu kuwa wachoyo wa maendeleo ya wachezaji hata siku moja wachezaji awawezi kupata mafanikio ya kuuzwa na kucheza anga za kimataifa. Ngassa yupo wapi? alicheza mpira wa kiwango kikubwa na ndie alikuwa mchezaji ghali kuuzwa kutoka Yanga hadi Azam sasa mpira umekwisha anaoa tu jumamosi na jumapili anaacha hiyo ndiyo  shida ya soka la bongo kuanzia wachezaji hadi viongozi wa timu ni shiiiiiinda.Na Nassor Gallu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waendesha mashitaka:Pistorius aende jela

Waendesha mashitaka wamekuwa wakitaja kesi yao dhidi ya mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius kutumikia kifungo

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta ampa barua Mtikila aende kwa JK

Ombi la Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher la kutaka Bunge hilo livunjwe, limekuwa zito kwa Mwenyekiti Samuel Sitta.

 

9 years ago

Global Publishers

Mumeo aende masaji wakati ujuzi unao?

couple-happy-in-bed-comp-680x380SHANGINGI leo niwape hi, nimejisikia kuchanganya na kizungu kidogo kwa sababu mada inahitaji hivyo, si unajua mambo ya masaji hayo ni ya wenzetu, zamani usingesikia bibi kaenda jumba la masaji!

Mada itawafundisha jinsi ya kumlea mume pale anapolalamikia maumivu ya mwili; wanawake tumekuwa na tabia kwamba mumeo akikwambia anajisikia vibaya, unakimbilia kumwambia aende hospitali au unakwenda kumnunulia panadol apunguze maumivu…tunakosea kabisa.

Daktari, nesi au tabibu ni wewe mwenyewe shoga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani