Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AGGREY :MSUVA AENDE ULAYA TU

 Msuva ni mcheza muhimu sana kwenye timu ya Yanga lakini kutokana na viongozi wa timu kuwa wachoyo wa maendeleo ya wachezaji hata siku moja wachezaji awawezi kupata mafanikio ya kuuzwa na kucheza anga za kimataifa. Ngassa yupo wapi? alicheza mpira wa kiwango kikubwa na ndie alikuwa mchezaji ghali kuuzwa kutoka Yanga hadi Azam sasa mpira umekwisha anaoa tu jumamosi na jumapili anaacha hiyo ndiyo  shida ya soka la bongo kuanzia wachezaji hadi viongozi wa timu ni shiiiiiinda.Na Nassor Gallu wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waendesha mashitaka:Pistorius aende jela

Waendesha mashitaka wamekuwa wakitaja kesi yao dhidi ya mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius kutumikia kifungo

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta ampa barua Mtikila aende kwa JK

Ombi la Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher la kutaka Bunge hilo livunjwe, limekuwa zito kwa Mwenyekiti Samuel Sitta.

 

9 years ago

Global Publishers

Mumeo aende masaji wakati ujuzi unao?

couple-happy-in-bed-comp-680x380SHANGINGI leo niwape hi, nimejisikia kuchanganya na kizungu kidogo kwa sababu mada inahitaji hivyo, si unajua mambo ya masaji hayo ni ya wenzetu, zamani usingesikia bibi kaenda jumba la masaji!

Mada itawafundisha jinsi ya kumlea mume pale anapolalamikia maumivu ya mwili; wanawake tumekuwa na tabia kwamba mumeo akikwambia anajisikia vibaya, unakimbilia kumwambia aende hospitali au unakwenda kumnunulia panadol apunguze maumivu…tunakosea kabisa.

Daktari, nesi au tabibu ni wewe mwenyewe shoga...

 

9 years ago

Dewji Blog

Aggrey & Clifford wins Gidani International account in Tanzania

GIDANI 3

Director of National Gaming Board Mr. Abbas Tarimba in discussion with Chairman of Gidani International Prof.  Bongani Aug Khumalo during Dar es Salaam International Trade fair 2015.The company participated for the first time and made promotion of its activities.

The marketing and advertising agency, Aggrey & Clifford, has won the account for Gidani International, operating as Murhandziwa in Tanzania.  This is the first time Gidani International will have a presence in Tanzania and it was...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA NIDHAMU TFF YAWAADHIBU JUMA NYOSO NA AGGREY MORRIS


Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewafungia kati ya mechi tatu na nane wachezaji Juma Nyoso wa Mbeya City na Aggrey Morris wa Azam kutokana na makosa ya kinidhamu waliyoyafanya wakiwa uwanjani.

Nyoso ambaye alilalamikiwa na TFF kwa kumfanyia vitendo vya udhalilishaji mshambuliaji Elias Maguri wa Simba amefungiwa mechi nane za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL). Adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia Ibara ya 57 na Ibara ya 11 (f) ya Kanuni za Nidhamu za TFF Toleo la...

 

10 years ago

GPL

2015 NA MPENDE AKUPENDAE, ALIYEKULIZA 2014 AENDE ZAKE!

Tunakutana tena kupitia safu hii namba moja kwa kuandika makala kali zinazogusa maisha yetu ya kimapenzi. Ni matumaini yangu kwamba u-mzima na kwa wale wakristo wenzangu nina imani mnaendelea vyema na maandalizi ya Sikukuu ya Christmas. Mpenzi msomaji wangu, tunaukaribia mwaka mpya wa 2015. Endapo tutakuwa miongoni mwa wale watakaouona mwaka huo tukiwa wazima, kwanza ni lazima tumshukuru Mungu. Tutakuwa na kila sababu ya kufanya...

 

10 years ago

Michuzi

jioni hii katika makutano ya mtaa wa Aggrey na India jijini Dar

Jioni hii katika Makutano ya barabara za mitaa ya Aggrey na India,ambapo gari hiyo aina ya Noah iliyokuwa ikitokea katika kituo cha Mafuta imeigonga pikipiki hiyo iliyokuwa katika mtaa wa Aggrey kama ionekanavyo pichani.Dereva wa pikipiki (wa tatu kulia kama anavyoonekana akipatana na mwenye gari) akiweza kuruka na kutoka salama salimini.

 

9 years ago

Michuzi

Raila Odinga ampongeza Dkt Magufuli, amshauri Lowassa aende mahakamani kama hajaridhika

Waziri Mkuu wa zamani Kenya Raila Odinga amempongeza Dkt. John Pombe Joseph Magufuli baada yake kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa Urais Tanzania.Akiongea katika mahojiano na BBC, Mhe Odinga amemshauri mgombea wa upinzani Mhe. Edward Lowassa Kuwa Kama Hajakubaliana na Matokeo basi Aende Mahakama kushtaki Kama yeye Alivyofanya wakati akigombea Urais Kenya na kushindwa na Rais Uhuru Kenyatta.Ameeleza pia matumaini yake kwamba Dkt. Magufuli atahakikisha kuendelea kwa uhusiano mzuri uliopo katia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani