Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waendesha mashitaka:Pistorius aende jela

Waendesha mashitaka wamekuwa wakitaja kesi yao dhidi ya mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius kutumikia kifungo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji atahadharisha waendesha mashitaka

WAENDESHA mashitaka wa mahakama, mawakili na wapelelezi wa makosa ya jinai, wameombwa kutumia taaluma zao kuwasidia wanawake na watoto. Ushauri huo ulitolewa na Jaji Peragia Khadai wa Mahakama Kuu ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius akana mashitaka

Siku ya kwanza ya kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius imekamilika nchini Afrika Kusini. Pistorius amaka kumuua mpenzi wake marehemu Reeva Steenkamp

 

10 years ago

BBCSwahili

Pistorius:Kiongozi wa mashitaka akata rufaa

Jaji anayesikiliza kesi ya mwanariadha mlemavu Oscar Pistorius, ameahirisha uamuzi wake ikiwa ataruhusu mwendesha mashtaka kukata rufaa ya kuhusu uamuzi wake na hukumu iiyotolewa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pistorius Jela miaka 5

Mwanariadha kutoka Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 kwa kumuuwa Reeva Steenkamp

 

10 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius apandishwa hadhi jela

Oscar Pistorius anaishi katika hadhi ya kifalme kwa muda mfupi aliotumikia kifungo chake, na hivyo kuzua mshangao kwa wafungwa wenziwe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miaka 5 jela kwa Oscar Pistorius

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp

 

9 years ago

Bongo5

Oscar Pistorius kutoka jela Jumanne ijayo

Mwanariadha mlemavu wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius ataachiwa kutoka gerezani Jumanne ijayo baada ya bodi ya parole kutoa ruhusa. Pistorius alihukumiwa kwenda jela miaka mitano kwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013. Amekaa jela kwa mwaka mmoja sasa. Hata hivyo bado anakabiliwa na rufaa kwenye mahakama kuu mwezi ujao ambayo kama ikipita hukumu […]

 

10 years ago

StarTV

Oscar Pistorius atupwa jela miaka mitano.

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.

 
Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita.

 
Jaji anayetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo itaridhisha pande zote kwenye kesi hiyo.

 
Upande wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Pistorius apatikana na hatia, afungwa jela miaka 5

Pistorius alipatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake bila kukusudia
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.

Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita.

Jaji anayetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani