Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji atahadharisha waendesha mashitaka

WAENDESHA mashitaka wa mahakama, mawakili na wapelelezi wa makosa ya jinai, wameombwa kutumia taaluma zao kuwasidia wanawake na watoto. Ushauri huo ulitolewa na Jaji Peragia Khadai wa Mahakama Kuu ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waendesha mashitaka:Pistorius aende jela

Waendesha mashitaka wamekuwa wakitaja kesi yao dhidi ya mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius kutumikia kifungo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfanyabiashara atahadharisha Polisi

JESHI la Polisi nchini limetakiwa kuacha kuvifananisha vikundi vya uhalifu na makundi ya kigaidi kama vile Al Sbabab, El Quaeda na Boko Haram, kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kuvuruga uchumi...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu wa Geita atahadharisha wananchi

Wananchi wametahadharishwa kuwa macho na vyama vya kisiasa na makundi yanayoibuka ndani ya Bunge la Katiba kwa lengo la kupindisha maoni yaliyotolewa na wananchi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Netanyahu atahadharisha Waisraeli Waarabu

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema usalama utaimarishwa zaidi katika maeneo ya Wairsaeli Waarabu baada ya mshambuliaji kuua watu wawili mjini Tel Aviv.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kijana mwenye HIV atahadharisha wenzake

Luke Alexander mwenye umri wa miaka 19 anayeishi London anatumia mitandao ya kijamii kuwatahadharisha vijana wenzake dhidi ya ugonjwa wa ukimwi

 

9 years ago

Mwananchi

Kikwete atahadharisha kauli za uvunjifu wa amani

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amesema baadhi ya kauli zinazotolewa na Umoja wa Vyama vya Upinzani (Ukawa), zinaashiria uvunjifu wa amani pindi matokeo ya kura yatakapoanishwa baada ya zoezi la upigaji kura Oktoba 25 mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa CAR atahadharisha kuhusu uchaguzi

Kaimu Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Catherine Samba-Panza, ameonya kuwa maadui wa amani wanajaribu kuzuia uchaguzi mkuu nchini humo usifanyike mwezi Desemba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa atahadharisha migogoro kuligharimu taifa

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema iwapo Serikali ya CCM haitaweka mazingira ya haki kwa makundi mbalimbali ndani ya jamii kwa ajili ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana atahadharisha ujenzi soko la ghorofa

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amehadharisha Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba dhidi ya mpango wake wa kujenga soko la ghorofa kwa kuitaka ijifunze kilichoikumba Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kujenga soko la Machinga Complex .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani