Dk. Slaa atahadharisha migogoro kuligharimu taifa
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema iwapo Serikali ya CCM haitaweka mazingira ya haki kwa makundi mbalimbali ndani ya jamii kwa ajili ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Sumaye: Migogoro ya katiba italiangusha taifa
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema taifa linaweza kuingia kwenye hatari ya kuanguka kama mgogoro wa uanzishwaji Katiba mpya utazidi kukua. Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam katika hotuba...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6hThTe10UGjk2aJtPzkIgNuNHw8iQeeZdzZlR3AEfGrtqLhJ4Q*mwClkSuDRNJunX8bAMt4qk26V7obo-0iKvAf/DrSlaa4.jpg)
SLAA NI SHUJAA WA TAIFA
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani
KAULI aliyopata kuitoa Waziri Mkuu Mizengo Pinda bungeni kuwataka polisi wawapige wapinzani, na kauli ya juzi ya Rais Jakaya Kikwete kuwaagiza wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wajibu mapigo pale...
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Dk Slaa: Ninalindwa na Usalama wa Taifa
10 years ago
MichuziBARAZA LA TAIFA LA UJENZI LATATUA ZAIDI YA MIGOGORO KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Dk. Slaa ataka deni la taifa lihakikiwe
SIKU chache baada ya serikali kukiri kupanda kwa deni la taifa ambalo sasa limefikia sh trilioni 27.04, kiasi ambacho kimeanza kuibua mjadala mkali juu ya mwenendo wa uchumi, Chama cha...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z0yQPJeTm14/VoOsDzqnbMI/AAAAAAAIPUc/FmK1dr-HylM/s72-c/704aa766-9e89-4262-8e93-1dfcc3b20a28.jpeg)
Baraza la Taifa la Ujenzi lapokea migogoro 41 na kufanikiwa kuitafutia ufumbuzi katika kipindi cha mwaka 2015
Baraza la Taifa la Ujenzi limepokea migogoro 41 na kufanikiwa kuitafutia ufumbuzi katika kipindi cha mwaka 2015 kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.
Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia majukumu ya Baraza hilo katika kutatua Migogoro inayojitokeza katika Sekta hiyo, Mhandisi Chamuriho amebainisha kuwa migogogoro...
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Ukawa wamjibu Slaa, wasema tuhuma alizotoa zinalipasua taifa
9 years ago
Vijimambo04 Sep
WATAALAMU WA MAMBO YA SIASA WANAKWAMBIA KUWA ETI SLAA NI SHUJAA WA TAIFA
![](http://api.ning.com/files/7KfVtj4CX6hThTe10UGjk2aJtPzkIgNuNHw8iQeeZdzZlR3AEfGrtqLhJ4Q*mwClkSuDRNJunX8bAMt4qk26V7obo-0iKvAf/DrSlaa4.jpg)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa.HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri wake, Ijumaa lina kila kitu.Katika mahojiano yaliyowahusisha wananchi na wachambuzi mbalimbali wa mambo ya kisiasa...