Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye: Migogoro ya katiba italiangusha taifa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema taifa linaweza kuingia kwenye hatari ya kuanguka kama mgogoro wa uanzishwaji Katiba mpya utazidi kukua. Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam katika hotuba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye: Taifa liko hatarini

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, ameonya taifa liko katika hatari ya kusambaratika ikiwa watanzania watadanganyika na kuwachagua viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao wanatumia nguvu kubwa ya fedha na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa atahadharisha migogoro kuligharimu taifa

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema iwapo Serikali ya CCM haitaweka mazingira ya haki kwa makundi mbalimbali ndani ya jamii kwa ajili ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uvunaji maliasili za Taifa lazima unufaishe Watanzania — Sumaye

p>WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema Waafrika wakiwamo Watanzania wanapaswa kujiandaa kunufaika na uvunaji mpya unaofanyika katika rasilimali zake. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa biashara na vitega uchumi...

 

10 years ago

Habarileo

Sumaye: Si kosa Muungano kuharibu mchakato wa Katiba

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema si sahihi wala si haki, kutumia hoja ya Muungano ambayo zaidi ya asilimia 86 hawakuizungumza wakati wa kutoa maoni ya Katiba mpya, kuharibu au kusimamisha mchakato wa Katiba mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkapa, Sumaye wakosa uzinduzi Bunge la Katiba

>Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na mawaziri wakuu wastaafu, Frederick Sumaye na Cleopa Msuya, jana hawakuhudhuria uzinduzi wa Bunge la Maalumu la Katiba kama ambavyo ilitangazwa na Katibu wa Bunge la Katiba

 

10 years ago

Mwananchi

Prof Shivji: Katiba Mpya si suluhisho la migogoro ya ardhi

Mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji amesema Katiba Mpya haiwezi kuwa dawa ya kumaliza migogoro ya ardhi inayolikabili Taifa.

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA TAIFA LA UJENZI LATATUA ZAIDI YA MIGOGORO KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10

 Kutoka kushoto ni Kaimu Mkuu wa Idara ya kumbukumbu na Habari John Haule, Afisa habari Mwandamizi wa baraza la Taifa la Ujenzi, Robertha Makinda, Afisa Mtendaji wa Baraza la Taifa la Ujenzi, Dr. Leonard Chamuliho akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na majukumu na mafanikio ya araza la Taifa la Ujenzi. kutoka kulia ni Afisa habari wa Baraza la Taifa la Ujenzi, Shukuru Sekondo na Mkuu wa Idara ya Majengo, Julius Mamiro.Afisa Mtendaji wa Baraza la Taifa la Ujenzi, Dr. Leonard...

 

10 years ago

Michuzi

KUWENI NA HOFU YA MUNGU, NAYE ATASIKIA MAOMBI YENU KWA TAIFA - MH. SUMAYE:

1Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika kuombea...

 

10 years ago

Michuzi

FREDRICK SUMAYE: KUWENI NA HOFU YA MUNGU, NAYE ATASIKIA MAOMBI YENU KWA TAIFA

1Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani