Sumaye: Si kosa Muungano kuharibu mchakato wa Katiba
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema si sahihi wala si haki, kutumia hoja ya Muungano ambayo zaidi ya asilimia 86 hawakuizungumza wakati wa kutoa maoni ya Katiba mpya, kuharibu au kusimamisha mchakato wa Katiba mpya.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Ykileo
AHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA KWA KOSA LA KUHARIBU TAARIFA ZA ALIYEKUA MUAJIRI WAKE

KWA UFUPI: Steffan Needham, Amabae alihudumu kama mshauri wa maswala ya tehama (IT Cosultant) katika kampuni ya Voova ya nchini Uingereza amehukumiwa kifungo cha miaka 2 Jela kwa kosa la kuharibu taarifa za muajiri wake wa wa zamani.--------------------------------
Kwa mujibu wa Thames Valley Police ya Nchini Uingereza, Mtuhumiwa alifukuzwa kazi na mwaajiri wake na baadae kuharibu taarifa zote muhimu za kampuni hiyo kwa kile kilicho tafsiriwa kama kulipiza kisasi kutokana na kufukuzwa...
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...
11 years ago
Habarileo01 Aug
Sumaye ahoji usalama wa Muungano
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amehoji kama Muungano wa Tanzania utakuwa salama, ikiwa Katiba mpya itaunda Muungano wa serikali tatu.
11 years ago
GPL
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano
11 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA

UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …
Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]
The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
BBCSwahili08 Oct
Tathmini:Mchakato wa katiba ya TZ