Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani
KAULI aliyopata kuitoa Waziri Mkuu Mizengo Pinda bungeni kuwataka polisi wawapige wapinzani, na kauli ya juzi ya Rais Jakaya Kikwete kuwaagiza wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wajibu mapigo pale...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6hThTe10UGjk2aJtPzkIgNuNHw8iQeeZdzZlR3AEfGrtqLhJ4Q*mwClkSuDRNJunX8bAMt4qk26V7obo-0iKvAf/DrSlaa4.jpg)
SLAA NI SHUJAA WA TAIFA
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Dk Slaa: Ninalindwa na Usalama wa Taifa
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Dk. Slaa atahadharisha migogoro kuligharimu taifa
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema iwapo Serikali ya CCM haitaweka mazingira ya haki kwa makundi mbalimbali ndani ya jamii kwa ajili ya...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Dk. Slaa ataka deni la taifa lihakikiwe
SIKU chache baada ya serikali kukiri kupanda kwa deni la taifa ambalo sasa limefikia sh trilioni 27.04, kiasi ambacho kimeanza kuibua mjadala mkali juu ya mwenendo wa uchumi, Chama cha...
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Ukawa wamjibu Slaa, wasema tuhuma alizotoa zinalipasua taifa
9 years ago
Vijimambo04 Sep
WATAALAMU WA MAMBO YA SIASA WANAKWAMBIA KUWA ETI SLAA NI SHUJAA WA TAIFA
![](http://api.ning.com/files/7KfVtj4CX6hThTe10UGjk2aJtPzkIgNuNHw8iQeeZdzZlR3AEfGrtqLhJ4Q*mwClkSuDRNJunX8bAMt4qk26V7obo-0iKvAf/DrSlaa4.jpg)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa.HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri wake, Ijumaa lina kila kitu.Katika mahojiano yaliyowahusisha wananchi na wachambuzi mbalimbali wa mambo ya kisiasa...
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Yanga, Mgambo vitani
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga leo wanaingia kambini Bagamoyo kujiandaa kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mgambo Shooting ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Sitta, Mbowe vitani