Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu wa Geita atahadharisha wananchi

Wananchi wametahadharishwa kuwa macho na vyama vya kisiasa na makundi yanayoibuka ndani ya Bunge la Katiba kwa lengo la kupindisha maoni yaliyotolewa na wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu Geita kortini akidaiwa kutapeli

ASKOFU wa Kanisa la Logos Evangilical Ministry (LEM) mkoani Geita, Michael Elikana (32) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Nyankumbu mjini hapa akituhumiwa kujipatia sh milioni 3.5 kwa udanganyifu. Mbele ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu Geita atoa onyo maziko ya Padri Kimisha

ASKOFU wa Jimbo Katoliki Geita, Damian Dallu, aliongoza mamia ya wakazi wa Geita na maaskofu kwenye ibada ya mazishi ya Padri Henry Kimisha aliyekuwa Paroko wa Kanisa la Mama Fatima...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Mtetemela awatuliza wananchi

Askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela amewahakikishia Watanzania kuwa Katiba itapatikana kwa wakati.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu: Wananchi wataamua muundo wa serikali

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutambua kuwa maamuzi ya mwisho ya kuchagua muundo wa serikali...

 

9 years ago

Mwananchi

Wananchi waandaliwe kisaikolojia kupokea matokeo-Askofu

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kusini, Isaya Mengele ameitaka Serikali na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwaandaa wananchi kisaikolojia ili wawe tayari kupokea matokeo ya uchaguzi wasiyotarajia.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge mteule wa Busanda ahidi kutatua kero za wananchi Geita

SAMSUNG CAMERA PICTURES

 Msimamizi  wa Uchaguzi, Ali Kidwaka akitangaza matokeo ya Ubunge jimbo la Busanda na Geita.

SAMSUNG CAMERA PICTURES

Mbunge mteule wa Busanda Bi Lolesia Bukwimba akiongea na Wanahabari mara baaada ya kutangazwa mshindi.

SAMSUNG CAMERA PICTURES

Diwani Mteule wa kata ya Lwamgasa jimbo la Busanda, Joseph Kaparatus akishangilia  ushindi baada ya kutangazwa kuwa mshindi.

Na Alphonce Kabilondo, Geita

MBUNGE mteule wa jimbo la Busanda wilayani Geita (CCM), Bi. Lolesia Jeremia Bukwimba amesema kuwa atahakikisha ana shirikiana na wananchi wake...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Munga ashauri Serikali kupitisha Katiba wanayotaka wananchi

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga ameshauri Serikali kupitisha Katiba ambayo itatenda haki kwa Watanzania kwa kuzingatia kanuni na hekima, badala ya kuingiza matakwa ya kila mtu.

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI WA KIJIJI CHA SHENDA WILAYANI GEITA WALALAMIKIA UCHAFU ULIOTUPWA TAREHE 9 DISEMBA

Krantz Mwantepele,Geita
Wananchi wa kijiji cha Shenda katika kata ya Masumbwe wilayani Mbogwe mkoani Geita Wameitaka ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri ya Mbogwe kuziondoa takataka zilizowekwa kijijini kwao kufuatia zoezi la usafi la December 9 Lililofanyika nchi nzima.
Wakiongea na waandishi wa habari za mtandaoni wananchi hao wanakijiji hao wamesema kuwa wanashangazwa na kitendo cha halmashauri ya wilaya kutupa takataka katika kijiji chao licha ya kwamba hakuna dampo la uchafu eneo...

 

10 years ago

Vijimambo

HIVI NDIVYO MWIGULU NCHEMBA ALIVYOHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI HUKO GEITA,UWANJA UMETAPIKA

Mwigulu Nchemba akiwasili Uwanja wa MKutano Geita mjini.Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba yakiendelea kwa shamrashamra za kutosha.Hisia za Wananchi kwa Mwigulu Nchemba ambaye katika Bango moja wapo anasomeka kama SOKOINE WA PILI NCHINI TANZANIA.Sehemu ndogo tu ya Maelfu ya Wananchi waliofika Kumsikiliza mh:Mwigulu Nchemba.Kueleka 2015 haikukosa,Hizi ni hisia za Wananchi wanaokoshwa na Uchapakazi wa Mwigulu NchembaMwigulu akikaribishwa Geita kwa Mabango.Kiongozi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani