USIHUZUNIKE KWA KUACHWA, UTAMPATA AKUPENDAE
![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKmVxs1tKBtjeVTQFgn34QiDzwQNgxL5CTdTRns0puft6VpVdEe-uQIm35gVu8gXpDmCgzHQdj-VutCRsIeBBBJ*/stressedwomanonbed.jpg?width=650)
MARA nyingi baadhi ya wapenzi wanaoachwa na wenza wao wamejikuta wakigeuka kuwa watu wa huzuni katika sehemu kubwa ya maisha yao baada ya kuachwa. Huzuni hiyo husababisha wengine kupunguza ufanisi wao wa kazi, wakati mwingine humfanya mtu kuwa dhaifu katika maamuzi na fikra zake, huku wengine wakijiona kana kwamba hawana thamani kabisa katika huu ulimwengu. Inafikia wakati, wengine huchukia watu wa jinsia ile iliyowatenda,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LuP5pzFgTW8rsSZJBI2qukZqgJsfL-2WQ2cVUIlkAyoMltuRjyD0-9DT9XtZbMrhRQVuYEfzdt9yq4LlbnT7WY7/Love.jpg?width=650)
2015 NA MPENDE AKUPENDAE, ALIYEKULIZA 2014 AENDE ZAKE!
11 years ago
Habarileo30 Jul
Ajinyonga baada ya kuachwa na mkewe
MKAZI wa Kijiji cha Vikonge, Kata ya Mpandandogo wilayani Mpanda, Joseph Lukato (52) amejinyonga kwa kujitundika mtini akitumia mtandio wa mkewe baada ya kughadhabika na kuachwa naye.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjRNOfnOVKAY1SrrY6eeiZQDneTR52rwiyrfM7E0LLVuVllLF8lWg5fgejMuWpeqWvJsfpnTNRD0NuTsLu1egDU/wolper.jpg?width=650)
JACK WOLPER: SIJAWAHI KULIA KUACHWA
11 years ago
Habarileo18 Feb
ALAT walia kuachwa uteuzi Bunge la Katiba
JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), imedai haikutendewa haki kwa kutoshirikishwa na kupewa nafasi ya uwakilishi katika Bunge Maalumu la Katiba. Madai hayo yametolewa wakati ambapo tayari Bunge hilo limeanza rasmi mkutano wake mjini Dodoma.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tza8Cm-LPds/VlhNHVkaWjI/AAAAAAAIInY/37ZNvyPC518/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-24%2Bat%2B4.03.10%2BPM.png)
SERIKALI YAKANUSHA KUHUSU HAZINA KUACHWA TUPU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tza8Cm-LPds/VlhNHVkaWjI/AAAAAAAIInY/37ZNvyPC518/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-24%2Bat%2B4.03.10%2BPM.png)
Serikali imekanusha taarifa zinazosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kuwa amekomba fedha hazina na kuiacha Serikali bila fungu lolote.
Hayo yamesemwa jijini dare es salaam na Kamishina wa Bajeti kutoka Wizara ya Fedha Bwa. John Cheyo huku akiwataka wananchi kupuuza habari hiyo kwani hazina ukweli wowote.
“Hazina inazo pesa za kutosha na tunajivunia kufanya uchaguzi wa mwaka huu, kununua mashine za BVR...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9frpMz--lbS3j3BdFKq7hCNvn7mPcTKBAlfNK4ErpGSsSHORXEAdhwYEFoOanOgr3Wl8HIWk11QOk5yLhkZ6Lwt/sadcouple.jpg?width=650)
UKIONA UNACHUNGUZWA NA KUFUATILIWA SANA, KAA MKAO WA KUACHWA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZZRe-BUg83lQedvWZNW6rSqe3kAIUiTF5ExJG92Mqp-rFRKEQEyyysTM7oK-QHDa9sj*rg14UX8icTAl5I4tPXeBjutxye6i/IMAAAAA.jpg)
UKIWA HODARI WA KUHONGA, KAA MKAO WA KUACHWA WAKATI WOWOTE!
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Wachezaji nyota waliosajiliwa, kuachwa msimu huu Ligi Kuu