Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


692 wanaswa wakiwinda Tarangire

JUMLA ya Majangili 692 wamekamatwa wakiwinda wanyama ndani na nje ya Hifadhi ya Tarangire mkoani Manyara katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mradi wa maji wa Sh mil 692 Kibati wakamilika

WANANCHI wapatao 10,000 wa vijiji vya Salawe na Hoza, Kata ya Kibati, wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro wameanza kupata huduma ya maji safi na salama kutokana na kukamilika kwa ujenzi mradi wa maji uliogharimu Sh milioni 692.1.

 

11 years ago

Habarileo

Watalii waongezeka Hifadhi ya Tarangire

IDADI ya watalii wa nje na ndani wamekuwa wakiongezeka kila mwaka katika Hifadhi ya Tarangire iliyopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara.

 

11 years ago

Mwananchi

Majangili wazidi kuteketeza tembo Tarangire

Tembo wanane katika Hifadhi ya Tarangire mkoani hapa wameuawa katika kipindi cha Novemba 2013 hadi sasa huku meno 17 ya tembo yakikamatwa katika operesheni inayoendelea kufanywa na askari wa hifadhi hiyo.

 

11 years ago

TheCitizen

Ministry awards Tarangire lodge five-star rating

The ministry of Natural Resources and Tourism has awarded Tarangire Sopa Lodge a five-star rating.

 

11 years ago

TheCitizen

Alarm over elephant killings in Tarangire National Park

The killing of elephants for their tusks in Tarangire National Park continues to be a matter of concern, with reports that 17 pieces of ivory were impounded recently.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uvamizi Hifadhi ya Tarangire watishia uhai wa wanyama

HIFADHI ya Taifa ya Tarangire ilianzishwa mwaka 1970 kwa tangazo la serikali namba 160; lengo likiwa ni kuhifadhi makimbilio ya wanyama wakati wa majira ya kiangazi. Malengo mengine ya kuanzishwa...

 

11 years ago

Michuzi

Kamati ya Bunge ya Ardhi maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Tarangire

Mkurugenzi mkuu wa hifadhi za taifa,TANAPA,Allan Kijazi akiteta jambo na mwenyekiti wa kamati ya ardhi ,maliasili na mazingira Mh James Lembeli kabla ya kuanza kwa kikao cha kamati hiyo na watumishi wa hifadhi ya taifa ya Tarangire. Mwenyekiti wa kamati ya ardhi ,maliasili na mazingira ,Mh James Lembeli akizungumza wakati wa kikao cha kamati yake na watumishi wa hifadhi ya taifa ya Tarangire. Mkurugenzi mkuu shirika la hifadhi ya taifa,TANAPA,Allan Kijazi akizungumza jambo wakati wa...

 

11 years ago

GPL

MAJANGILI WANASWA

Majangili waliokamatwa wakiwa chini ya ulinzi. Swala aliyeuawa na majangili hao. WIMBI…

 

9 years ago

GPL

LUNGI, FERGUSON WANASWA

Rapa Saulo John ‘Ferguson’ akiwa na  Lungi Maulanga. Issa Mnally Rapa mahiri wa bendi ya muziki wa dansi ya Mashujaa ya jijini Dar es Salaam Saulo John ‘Ferguson’ mwishoni mwa wiki iliyopita alinaswa na Lungi Maulanga wakiwa katika hali tete ndani ya Ukumbi wa Mango Garden. Akiwa ameongozana na mkewe aitwaye Rose Bushoke kwenye onesho la Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta,’...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani