Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LUNGI, FERGUSON WANASWA

Rapa Saulo John ‘Ferguson’ akiwa na  Lungi Maulanga. Issa Mnally Rapa mahiri wa bendi ya muziki wa dansi ya Mashujaa ya jijini Dar es Salaam Saulo John ‘Ferguson’ mwishoni mwa wiki iliyopita alinaswa na Lungi Maulanga wakiwa katika hali tete ndani ya Ukumbi wa Mango Garden. Akiwa ameongozana na mkewe aitwaye Rose Bushoke kwenye onesho la Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta,’...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

LUNGI AMLIPUA MASOGANGE

Gladness Mallya na Hamida Hassan MSANII wa siku nyingi kwenye anga la filamu Bongo, Lungi Maulanga amemlipua Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ kwamba hajui kutumia umbo lake vizuri ndiyo maana amemtelekeza mwanaye.Akipiga stori na Ijumaa, Lungi alidai Masogange amemwacha mwanaye kwa shangazi yake huku malezi yake yakiwa duni wakati yeye akijiachia kimjini. Msanii wa siku nyingi kwenye anga la filamu Bongo, Lungi...

 

11 years ago

GPL

LUNGI NA MAHABA NIUE

MAKUBWA! Baada ya kujichora tatuu mbalimbali mwilini mwake, kuonesha amechizika kimalovee, mwigizaji Lungi Maulanga amechora moja yenye sura ya mpenzi wake ambaye hakutaka kumtaja. Mwigizaji wa Bongo Muvi, Lungi Maulanga. Akipiga stori na mwanahabari wetu, Lungi alisema kuwa ana tatuu 12 mwilini mwake ambazo alizichorea pande za Dubai alipokuwa ameenda kutembea lakini mahaba niue ndiyo yalimtuma achore hiyo yenye muonekano wa...

 

11 years ago

GPL

LUNGI APATA AJALI MBAYA

MASKINI! Msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya ya gari na kupata majeraha mbalimbali mwilini. Msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga. Lungi alipata ajali hiyo maeneo ya Tegeta, jijini Dar akiwa kwenye gari lake ambapo aligongwa na lori lililokuwa limebeba mchanga na kusababisha aumie zaidi usoni na mguuni na kushonwa nyuzi tisa. “Namshukuru Mungu nimeponea chupuchupu kwani...

 

10 years ago

GPL

BIFU JIPYA LUNGI, AMANDA

NA WAANDISHI WETU/Mchanganyiko NYOTA wa filamu kitambo, Lungi Maulanga anadaiwa kuwa katika bifu kali na mwenzake Tamrina Poshi ‘Amanda’ kwa kile kinachotajwa kuwa ni mmoja wao kumponda mwenziye akimsema kuwa anaenda nje kujiuza. Nyota wa filamu kitambo, Lungi Maulanga. “Unaambiwa Lungi baada ya kuambiwa hivyo alikasirika na kumpigia simu Amanda wakaanza kutukanana kiasi cha kufikia hatua ya kutaka...

 

10 years ago

GPL

LUNGI AFUNGUKIA NDOA YA SIRI

Stori: Laurent Samatta/Ijumaa Wikienda
STAA wa sinema za Kibongo, Lungi Maulanga, amesema baada ya kufunga ndoa ya siri Novemba, mwaka jana na Jonson, Raia wa Cameroon, walidumu kwa muda mfupi kwenye ndoa na sasa wameachana.
Akifafanua undani wa sakata hilo, Lungi alisema alikubali kuolewa na mwanaume kwa ajili ya yeye kujipatia fedha na hakuwa akimpenda kwa dhati. Staa wa sinema za Kibongo, Lungi Maulanga. “Mimi mtoto...

 

10 years ago

GPL

LUNGI WASANII WANAOKIMBILIA SIASA NI WAPUUZI!

Mayasa Mariwata MSANII wa filamu Bongo, Lungi Maulanga ameweka wazi kuwa wasanii wote kutoka Bongo Movie waliokurupuka na kujiingiza kwenye siasa ni wapuuzi kwani hawana sifa za kuingia kwenye siasa kutokana na vitendo vyao vingi kutokubaliwa na jamii inayowazunguka.  ....Soma zaidi==>http://bit.ly/1J1gNWl

 

10 years ago

GPL

LUNGI AKOMBWA VITU VYA NDANI!

BRIGHTON MASALU MWANAMAMA na ‘mtoto wa mjini’, Lungi Maulanga ameibiwa baadhi ya vitu vya ndani wakati akiwa katika matembezi ya usiku.Akizungumza na gazeti hili, Jumatano wiki hii, mmoja wa marafiki ‘changu ni chako’ wa msanii huyo ambaye hakutaka jina lake ‘lichorwe’ gazetini, alisema tukio hilo la hasara lilitokea usiku wa Jumanne nyumbani kwa Lungi  Magomeni jijini Dar wakati akiwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lungi Atoboa Siri Yake ya Kujikojolea!

Staa mrembo wa Bongo Movies,  Lungi Maulanga hivi karibuni ametoa ushuhuda wake kwamba alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kujisaidia kitandani mpaka alipofika kidato cha pili lakini alipona katika mazingira ya kushangaza.

 “Nikiri tu kwamba nilikuwa kikojozi mpaka nafikia form two, nilikuwa naona aibu sana lakini aliyenisaida ni bibi mmoja ambaye aliniponya katika mazingira ya kushangaza.

“Baada ya kumwambia tatizo langu, aliniambia nipande kwenye mti wa muembe nikiwa na nguo zangu, nikiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani