LUNGI WASANII WANAOKIMBILIA SIASA NI WAPUUZI!
![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSlDlDh5EK8mXi5inz8VY604ribKMwWwnFftTc7PwOWzvLfWHO7BODhVc4ODDBH9hg72WmbiSBzDtk4ilXtiZyhl/Lungi.jpg?width=650)
Mayasa Mariwata MSANII wa filamu Bongo, Lungi Maulanga ameweka wazi kuwa wasanii wote kutoka Bongo Movie waliokurupuka na kujiingiza kwenye siasa ni wapuuzi kwani hawana sifa za kuingia kwenye siasa kutokana na vitendo vyao vingi kutokubaliwa na jamii inayowazunguka. Â ....Soma zaidi==>http://bit.ly/1J1gNWl
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuBpB5SZHYtCVLLpu*D6VHZkhxQBLXavHXmT3gp7sjqeTIXo8x4HB4mDlT7Mr4tvzQ7NZLxCtwLOETFIU*DMAWl2/JAY2.jpg?width=650)
WASANII WALIOJITOSA KWENYE SIASA
5 years ago
Bongo514 Feb
Mabeste awachana wasanii wenzake wanaodandia siasa
Mabeste ametoa ushauri kwa wasanii wenzake ambao wanajiingiza kwenye siasa na kusahau majukumu yao kwenye muziki.
Akizungumza na kipindi cha Mega Mix cha Abood FM, muimbaji huyo amesema, “Tufanye muziki,tusiconcetrate na siasa. Politics sasa hivi imeshika kuliko kitu kingine chochote na mpaka inasababisha baadhi ya artists kuachia track na zinakuwa zinafeli kwa sababu tu raia wamefocus sana kwenye politics kuliko burudani.”
“Unakuta sisi wasanii wengine tunaona ilituweze kutake attention na...
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Wasanii kujihusisha na siasa, ni faida ama hasara?
10 years ago
Habarileo14 Oct
Nyalandu ashangazwa na wanaokimbilia urais
WAKATI joto la Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kwa mwaka kesho likizidi kupanda, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amewashangaa wanaojitokeza kutangaza nia ya kuwania Urais, akisema nafasi hiyo ni nyeti ambayo wengi wanapaswa kuogopa kutangaza kuitaka.
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Wakati Baadhi Ya Wasanii wa Bongo Movies Wamejikita Kwenye Siasa, Gabo Ana Haya
Mcheza filamu Salim Ahmed ‘Gabo’ amesema sanaa haitakufa licha la wimbi la wasanii wake kujikita katika maswala ya siasa kwa sasa, kwasababau wapo amabo wameamua kuiendeleza kwa kwenda mbele.
Gabo amesema pamekuwa na wasiwasi kwamba fani ya filamu haitaweza tena kuwa pale ilipokuwa baada ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao kutokana na wasanii wengi kuwania kuingia Bungeni na chuki baina yao.
Maishani kila mmoja ana maamuzi yake, alisema Gabo , na ndiyo maana ana chofikieria...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pyBac3zfF97oePOTEd-E0Akq1G4i-sApwgVjC3HsWaEq4DWlOly67kdMrN4gmL44XuXD6t357W6T2tkcRQ6iJ9/lungi.jpg)
LUNGI NA MAHABA NIUE