Nyalandu ashangazwa na wanaokimbilia urais
WAKATI joto la Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kwa mwaka kesho likizidi kupanda, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amewashangaa wanaojitokeza kutangaza nia ya kuwania Urais, akisema nafasi hiyo ni nyeti ambayo wengi wanapaswa kuogopa kutangaza kuitaka.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Dec
Nyalandu ajitosa urais 2015
MBIO za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimechukua sura mpya baada ya jana Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kutangaza rasmi nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho.
10 years ago
Mtanzania29 Dec
Nyalandu atangaza kugombea urais
Na Kulwa Karedia, Singida
MBIO za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimechukua sura mpya baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutangaza rasmi nia ya kugombea urais mwaka 2015.
Akizungumza katika mkutano wa kuwashukuru wapigakura wake kwenye uwanja wa michezo wa Shule ya Msingi Ilongero, Wilaya ya Singida Vijijini jana, Waziri Nyalandu alisema muda wa Tanzania kupata maono mapya umefika.
“Muda wa Tanzania kupata maono mapya umefika, nitachukua hatua ya kuelekea...
10 years ago
MichuziNYALANDU ATANGAZA NIA KUGOMBEA URAIS
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Nyalandu: Urais CCM, Ukawa ni kivumbi
10 years ago
Vijimambo14 Oct
Nyalandu: Nasubiri kuombwa kuwania urais 2015
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lazaro%20Nyarandu-October--2014.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema hawezi kutangaza kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao bila kutumwa na watu.
Nyalandu amesema kuwa wadhifa wa kuongoza nchi ni mkubwa mno, ambao mtu hawezi kujichukulia uamuzi wa kuiomba nafasi hiyo isipokuwa mpaka atumwe na watu, huku akisema kuwa ingawa hana mpango wa kugombea urais, lakini hata yeye akitumwa anaweza kugombea.
Nyalandu aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wake na wandishi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7bzig-cQjpIDzbvClEqjPGe8Vc4Yqp1zpDLUS3hnUdUQvEBaE6oi9NUPTnR9fDWGnQ58QVfeLbKL2b4JRhMQ0Qrx/BACKJUMAMOSI.jpg)
URAIS 2015: NYALANDU AKESHA AKICHEZA SEBENE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7bw2nvNPOsBErgmE6qizTKYTg9S0B*YrI6Vk6VmW3PVAxlDkfPRVLp6rH-u2j5cjePGWJ1Z6YAxX6xZX7Qgqxow5/LazaroNyalandu1.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI NYALANDU, NISINGETANGAZA KUGOMBEA URAIS
10 years ago
Dewji Blog28 Dec
Nyalandu atangaza rasmi kuwania Urais 2015
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazalo Nyalandu alisalimia wananachi baada ya kuwasili na mkewe Faraja Kota kwenye Mkutano wa jimbo uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Michezo wa Ilongelo, jimboni humo (Picha na Bashir Nkoromo theNkoromo Blog).
theNkoromo Blog, Singida
Mbunge wa Singida Kaskazini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu mwakani.
Amesema amechukua uamuzi huo baada ya kuona kwamba...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-x9yNNl65Wag/VYVnCentcII/AAAAAAABcFE/qfjrj4QQ8yQ/s72-c/kali.jpg)
WAZIRI NYALANDU; URAIS USIWAGAWE WANA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-x9yNNl65Wag/VYVnCentcII/AAAAAAABcFE/qfjrj4QQ8yQ/s640/kali.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8C1Ux0Jm4RU/VYVnD03QxKI/AAAAAAABcFM/aRZTVonsBHo/s640/two.jpg)