Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyalandu ashangazwa na wanaokimbilia urais

Lazaro NyalanduWAKATI joto la Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kwa mwaka kesho likizidi kupanda, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amewashangaa wanaojitokeza kutangaza nia ya kuwania Urais, akisema nafasi hiyo ni nyeti ambayo wengi wanapaswa kuogopa kutangaza kuitaka.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Nyalandu ajitosa urais 2015

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akisalimiana na wananchi wake katika uwanja wa Ilongero Singida Vijijini, baada ya kumaliza kuhutubia jana. (Na Mpigapicha Wetu).MBIO za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimechukua sura mpya baada ya jana Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kutangaza rasmi nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho.

 

10 years ago

Mtanzania

Nyalandu atangaza kugombea urais

Pg 3.

 

Na Kulwa Karedia, Singida
MBIO za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimechukua sura mpya baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutangaza rasmi nia ya kugombea urais mwaka 2015.
Akizungumza katika mkutano wa kuwashukuru wapigakura wake kwenye uwanja wa michezo wa Shule ya Msingi Ilongero, Wilaya ya Singida Vijijini jana, Waziri Nyalandu alisema muda wa Tanzania kupata maono mapya umefika.
“Muda wa Tanzania kupata maono mapya umefika, nitachukua hatua ya kuelekea...

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU ATANGAZA NIA KUGOMBEA URAIS

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na wananchi mkoani Singida baada ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya urais kwenye Uwanja wa Namfua leo. (Picha na Loveness Bernard)
Umati wa watu ukimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu baada ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya urais kwenye Uwanja wa Namfua mkoani Singida leo. (Picha na Loveness Bernard) Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (kushoto) akiwa na mkewe Faraja kabla ya kuzungumza na...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyalandu: Urais CCM, Ukawa ni kivumbi

Dar es Salaam. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema uchaguzi wa Rais ajaye utakuwa na ushindani mkubwa ndani na nje ya CCM, huku akibainisha kuwa haogopi mtu kati ya wote wanaotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho, bali anawaheshimu.

 

10 years ago

Vijimambo

Nyalandu: Nasubiri kuombwa kuwania urais 2015

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema hawezi kutangaza kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao bila kutumwa na watu.

Nyalandu amesema kuwa wadhifa wa kuongoza nchi ni mkubwa mno, ambao mtu hawezi kujichukulia uamuzi wa kuiomba nafasi hiyo isipokuwa mpaka atumwe na watu, huku akisema kuwa ingawa hana mpango wa kugombea urais, lakini hata yeye akitumwa anaweza kugombea.

Nyalandu aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wake na wandishi...

 

10 years ago

GPL

URAIS 2015: NYALANDU AKESHA AKICHEZA SEBENE!

Stori:Mwandishi wetu, Kibaha
WAZIRI wa Mali Asili na Utalii, Lazaro Nyalandu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa nchi amefanya kufuru kubwa katika Kanisa la Efatha linaloongozwa na Nabii Josephat Mwingira, mjini Kibaha, Pwani baada ya kusakata sebene la Injili usiku wa manane. Waziri wa Mali Asili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiselebuka. Nyalandu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini (CCM), alifanya hayo...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI NYALANDU, NISINGETANGAZA KUGOMBEA URAIS

Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Samuel Nyalandu. Kwako Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Samuel Nyalandu.
Najua uko bize sana kwa sasa ukiweka sawa mipango yako kuhakikisha mwaka huu unaingia ikulu katika uchaguzi mkuu ujao, najua itakuwa vigumu kwa ‘kapuku’ kama mimi kuonana na wewe ndiyo maana nimeamua kutumia ukurasa huu kufikisha ujumbe...

 

10 years ago

Dewji Blog

Nyalandu atangaza rasmi kuwania Urais 2015

1. Nyalandu akisalimia Uwanja wa Ilongelo

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazalo Nyalandu alisalimia wananachi baada ya kuwasili na mkewe Faraja Kota kwenye Mkutano wa jimbo uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Michezo wa Ilongelo, jimboni humo (Picha na Bashir Nkoromo theNkoromo Blog).

theNkoromo Blog, Singida

Mbunge wa Singida Kaskazini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu mwakani.

Amesema amechukua uamuzi huo baada ya kuona kwamba...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI NYALANDU; URAIS USIWAGAWE WANA CCM

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana kwa furaha na Waziri mwenzake, Profesa Mark Mwandosya, wakati walipokutana Uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi, wakiwa kwenye harakati za kusaka wadhamini mkoani humo. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akiwaaga baadhi ya wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye Ofisi ya CCM wilayani Mpanda, jana, wakiomba kumdhamini katika harakati zake za kuwania kupeperusha bendera ya Chama katika nafasi ya urais. Nyalandu alikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani