Rasimu iliyopendekezwa hatarini kukwama
Rasimu ya Katiba Mpya inayopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba (BMK) ipo katika hatari ya kukwama kupitishwa na baadhi ya wajumbe, kufuatia kukosekana kwa kipengele kinachoruhusu Mahakama ya Kadhi.
Msimamo huo ulitolewa jana na wajumbe hao kwa nyakati tofauti, ndani na nje ya ukumbi wa Bunge.
Sheikh Masoud Jongo, baada ya kuruhusiwa kuchangia mjadala bungeni alisema;
"Tulileta mapendekezo yetu, mpaka sasa tunaona kimya tunachotaka kujua yataingizwa au hayaingizwi.?
Kama hayaingizwi...
Nipashe
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Waikosoa rasimu iliyopendekezwa
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Ahadi ya Pinda Mahakama ya Kadhi hatarini kukwama
10 years ago
Mwananchi26 Sep
KATIBA: Waiponda rasimu iliyopendekezwa
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mbunge ahofia Rasimu ya Katiba kukwama
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SzB6WM4NKKY/VCLMzlcemmI/AAAAAAAAGAU/7GXq8PYGNoo/s72-c/Samuel-Sitta.jpg)
RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE MAALUM 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-SzB6WM4NKKY/VCLMzlcemmI/AAAAAAAAGAU/7GXq8PYGNoo/s640/Samuel-Sitta.jpg)
Mambo yameiva, na hii hapa ndiyo Rasimu ya Tatu ya Katiba, ambayo inapendekezwa na Bunge Maalum. Vipengele vingi vimebadilishwa. Haya hapa ni mambo ya Muungano:Mambo ya Muungano
1. Katiba na Mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.2. Ulinzi na usalama wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.3. Usalama na usafiri wa anga.4. Uraia na uhamiaji.5. Jeshi la Polisi.
6. Sarafu na Benki Kuu.7. Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na Mashirika,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuVFgCjLvbAjZno8yvxv65Yeey38XyGNGnLST-pBbmxhw6ODwViUr8xcHDea7Ea7wrSFonBTy-bGl9gpaQFS3Zx6/64.jpg)
RASIMU ILIYOPENDEKEZWA BUNGE MAALUMU LA KATIBA
10 years ago
MichuziRASIMU YA KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA KUWASILISHWA BUNGENI SEPTEMBA 24 MWAKA HUU
RASIMU ya Katiba Mpya iliyopendekezwa inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge Maalum la Katiba Septemba 24, mwaka huu.
Mabadiliko hayo yametangazwa leo jioni na Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahya Khamis Hamad wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Aidha Katibu huyo amesema uamuzi wa mabadiliko hayo, umetokana na kufanyika kikao baina ya Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi.
Hata hivyo Katibu...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NJo-Az6QDhc/VCGBnORk5YI/AAAAAAAGlW8/wCSwPdeL_z8/s72-c/unnamed%2B%2872%29.jpg)
CHENGE AKABIDHI RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI BUNGE MAALUM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NJo-Az6QDhc/VCGBnORk5YI/AAAAAAAGlW8/wCSwPdeL_z8/s640/unnamed%2B%2872%29.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SWzZKcxijxM/VCGBtll8EGI/AAAAAAAGlXE/LzQ5cEXOMMo/s640/unnamed%2B%2873%29.jpg)
10 years ago
VijimamboWASANII WATINGA VIWANJA VYA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUSIKILIZA RASIMU ILIYOPENDEKEZWA.