A toZ,Mengi wamsaidia Lowassa jimboni kwake,wachangia shule iliyoungua
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule sekondari ya wavulana ya Engutoto wilayani Monduli wakati alipotembelea leo.Lowassa ambaye alirejelea kauli yake ya kwamba yeye si tajiri bali ni tajiri wa marafiki, alichangia shilingi milioni tatu kwa ajili ya sare za shule kwa wanafunzi ambao nguo zao ziliteketea.Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP amechangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda.
Mmiliki wa kiwanda kikubwa cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog20 Sep
Tundu Lissu ahujumiwa jimboni kwake: Shule ya Msingi Taru yakosa usajili licha ya kuwa na vigezo muhimu vya awali
Jengo la madarasa wanayotumia wanafunzi wa darasa la pili na la tatu kutokana na upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule hiyo.
Na.Jumbe Ismailly
[Ikungi, Singida]Shule ya msingi Taru namba saba iliyopo kata ya Sambaru, tarafa na wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida haijasajiliwa kwa kipindi cha miaka sita sasa, hali inayochangia wanafunzi wa darasa la nne kutembea umbali wa kilomita 22 kwenda kufanya mtihani wa kuingia darasa la dano katika shule mama ya Sambaru.
Mwenyekiti wa Kijiji cha...
10 years ago
MichuziZiara ya Makalla jimboni kwake Mvomero
Katika ziara yake ya kichama amekagua kazi zinazotanywa na kikundi cha wakina mama wafinyanga vyungu, wakinamama wajasiriamali wauza kokoto na walima bustani.
Aidha amezindua Shina la ushindi ambalo wakinamama wafinyanga vyungu ndiyo wanachama wa Shina hilo, Katika kuunga Mkono...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LvFVbuYqwC8/U9pSdTR4DcI/AAAAAAAF8Ck/DABGBb6IRG0/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Mh. Simbachawene akiwa jimboni kwake Kibakwe
![](http://2.bp.blogspot.com/-LvFVbuYqwC8/U9pSdTR4DcI/AAAAAAAF8Ck/DABGBb6IRG0/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5PYW6kHIr-w/U9pSeU4wewI/AAAAAAAF8Cs/dToQXEy1nXw/s1600/unnamed+(6).jpg)
10 years ago
MichuziWAZAZI WACHANGIA SHULE YA UFUNDI IFUNDA
11 years ago
MichuziMH. MAKALLA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE MVOMERO
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ,ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maji,kuanzia Julai 3 hadi 7, mwaka huu, alifanya ziara ya kikazi iliyilenga kuhamasisha shughuli za maendeleo ya wananchi wake wa vijiji mbalimbali vya Tarafa ya Mlali, Turiani na Mvomero.
Katika ziara hiyo, ametoa misaada ya aina mbalimbali ya kifedha na vifaa kwa ajili ya kuharakisha maendeleo ya huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na kuzundua vituo vya kuchota maji Kijiji cha Mgogo, Kata ya...
11 years ago
MichuziMH. MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA JIMBONI KWAKE CHATO
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-EwL7jziO8fg/Viyd3d3IhzI/AAAAAAAAqnY/cyU8TC3WQcs/s72-c/3.jpg)
MAGUFULI APIGA KURA JIMBONI KWAKE CHATO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EwL7jziO8fg/Viyd3d3IhzI/AAAAAAAAqnY/cyU8TC3WQcs/s640/3.jpg)
Dk. Magufuli alipiga kura yake asubuhi ya saa 4 na dakika 32.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1V1ti6NGioQ/Viyd3jJFjmI/AAAAAAAAqng/pVewribUz3Y/s640/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xmh_9lInvn0/Viyd4VcpVqI/AAAAAAAAqns/YwZ18ebC7sE/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YV1DyCDKpww/Viyd4yFUxuI/AAAAAAAAqnw/a4TGyWZd98k/s640/8.jpg)
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Serikali kutekeleza ahadi za Mgimwa jimboni kwake