Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


A-Z PATI YA WAFANYAKAZI NA WADAU WA GLOBAL PUBLISHERS CHADIBWA BEACH, DAR

One love: Wafanyakazi na wadau wa GPL wakishow love pamoja ndani ya Chadibwa Beach. Nyemo na Shani katika pozi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA GLOBAL PUBLISHERS WAUKARIBISHA MWAKA 2014 KWA AINA YAKE CHADIBWA BEACH

Wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd wakipozi katika picha ya pamoja ikiwa ni ishara ya kuukaribisha rasmi mwaka 2014 katika ufukwe wa Chadibwa, Kigamboni Dar.…

 

11 years ago

GPL

SUZAN PETER ACHANGIWA MSAADA WA BIASHARA NA WAFANYAKAZI GLOBAL PUBLISHERS

Mhariri Mtendaji wa Global Publishers Limited,  Richard Manyota,  akimkabidhi mtoto Peter Hassan ‘harambee’ ya wafanyakazi wa Global Publishers.
Mtoto Peter  akiwa ameshika fedha baada ya kukabidhiwa na Manyota.  Pembeni ni  Susan Peter…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL PUBLISHERS ILIVYOMULIKA MAENEO YA VIUNGA VYA DAR

Hiki ni kisima kinachotumiwa na wakazi wa Yombo-Dovya karibu na mto Muki. Hapa ni eneo  la Tanesco kitongoji cha Tandale.…

 

11 years ago

GPL

WAUZAJI WA MAGAZETI JIJINI DAR WAPEWA MAKOTI YA MVUA NA GLOBAL PUBLISHERS

Wauzaji wa magazeti wa Magomeni wakiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Global Benjamin Mwanambuu (katikati) na John Mwaipaja (wa kwanza kulia).…

 

9 years ago

Michuzi

Mpiganaji Haruni Sanchawa wa Global Publishers aagwa Dar, kuzikwa Serengeti Mkoani Mara

MWANDISHI wa habari wa Global Publishers Ltd, Haruni Sanchawa, aliyefariki dunia Desemba 9 mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar, ameagwa leo nyumbani kwa mjomba wake Kitunda jijini Dar es Salaam na kusafirishwa kuelekea Mugumu-Serengeti, mkoani Mara, ambapo atazikwa kijiji cha Lemungololi.
Sanchawa alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo, alifariki saa chache baada kuhamishiwa katika hospitali hiyo baada ya kupewa rufaa kutoka Hospitali ya Amana alipokuwa amelazwa kwa siku...

 

11 years ago

Michuzi

maalim seif akutana na bw. ludovick Utouh, wanahabari wa Global publishers leo dar es salaam

 Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiagana na Mdhibiti na Mkuaguzi Mkuu wa hesabu, Ludovick Utouh, baada na kumaliza mjadala wao aliofanyika ofisi kuu za CUF, Buguruni Dar es Salaam.  Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiagana na Mdhibiti na Mkuaguzi Mkuu wa hesabu, Ludovick Utouh, baada na kumaliza mjadala wao aliofanyika ofisi kuu za CUF, Buguruni Dar es Salaam.  Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani