AACHIKA KWA KUMUUNGUZA MIDOMO MWANAYE!
![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wWqFio2gwYXq5*bYMJbKaYMQLdUk49et4EwTj6pqDzxsjN38ryIYAKMvKGPka11IKuSuN2YgaAGlxMf50KNiLco/rohombaya.jpg?width=650)
Stori:Chande Abdallah na Deogratius Mongela Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuunguza midomo mwanaye, huko Yombo Buza, jijini Dar, Juni 24 mwaka huu. Paulina, akiwa na majeraha ya moto midomoni. Kwa mujibu wa majirani, mwanamke huyo alimchoma mtoto wake wa kumzaa, Paulina, mwenye umri wa miaka mitano kwa kile alichodai kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Mama amchoma mwanaye kwa maji moto
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjWtQ4*9ufTcQyS6KcX91tK56-OIsxv6oWeXK4Orwb0BaaJY482y24iP6S3e4O1LX8gi64ZDoC-cs9PKe0JeR-MG/mbaroni.jpg)
MAMA MBARONI KWA KUMFUNGIA MWANAYE NDANI
11 years ago
Mwananchi26 May
Baba amuua mwanaye kwa adhabu kali
10 years ago
GPLMBUZI WAZIBWA MIDOMO
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Baba ajinyonga akidhani amemuua mwanaye kwa kipigo
11 years ago
CloudsFM06 Aug
INSPEKTA WA POLISI MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMUUA MWANAYE
Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene (40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka yake, Alerd Makene (16).
Makene anadaiwa kutenda kosa hilo Julai 24, mwaka huu katika makazi ya polisi, Mtoni Kijichi, Dar es Salaam na anashikiliwa katika Kituo cha Chang’ombe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya wa Kihenya alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema marehemu Alerd alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Mbagala...
11 years ago
KwanzaJamii06 Aug
INSPEKTA WA POLISI MBARONI KWA TUHUMA ZA KUUA MWANAYE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3sy0zrFWzbukpI8TfCZSnItCaTLvj6T5ybtLuyJaU8LFxNUj8l9S4OWroyzHd0Mqt4m1GHQ4ChtRZAd6KlrCoTKT/Diddy2.jpg?width=650)
DIDDY AKAMATWA KWA KUPIGANA NA KOCHA AKIMTETEA MWANAYE
11 years ago
Mwananchi07 Aug
UKATILI: Inspekta wa Polisi mbaroni kwa tuhuma za kuua mwanaye