Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AACHIKA KWA KUMUUNGUZA MIDOMO MWANAYE!

Stori:Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuunguza midomo mwanaye, huko Yombo Buza, jijini Dar, Juni 24 mwaka huu. Paulina, akiwa na majeraha ya moto midomoni. Kwa mujibu wa majirani, mwanamke huyo alimchoma mtoto wake wa kumzaa, Paulina, mwenye umri wa miaka mitano kwa kile alichodai kuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mama amchoma mwanaye kwa maji moto

Polisi mkoa wa Mara inamshikilia mwananke mmoja (jina tunalo) mkazi wa Bweri Manispaa ya Musoma kwa kosa la kumchoma mtoto wake mwenye miaka minne, kwa maji ya moto, mikono yote miwili baada ya kumtuhumu kuwa ameiba nyama jikoni.

 

10 years ago

GPL

MAMA MBARONI KWA KUMFUNGIA MWANAYE NDANI

Stori: Haruni Sanchawa
Tukisema dunia imekwisha,tutakuwa hatujafanya makosa maana matukio ya utesaji, unyayasaji na ukatili kwa watoto wachanga yamekuwa yakichukua kasi  kubwa ndani ya jamii. Mtuhumiwa Bhoke Steven (21) anayedaiwa kumfungia ndani mwanaye anayejulikana kwa jina la Steven Amos (miezi 10). Hivi karibuni mama mmoja, Bhoke Steven (21) (pichani), mkazi wa Kitunda, wilayani Ilala, Dar es Salaam amejikuta matatani...

 

11 years ago

Mwananchi

Baba amuua mwanaye kwa adhabu kali

Simanzi, vilio na majonzi vilitawala Kijiji cha Misiri, Kata ya Bugarama, wilayani Geita, kutokana na tukio la kifo cha mtoto, John Wiliam (4) aliyefariki baada ya kupewa adhabu na baba yake mzazi.

 

10 years ago

GPL

MBUZI WAZIBWA MIDOMO

Mbuzi wakiwa wamezibwa midomo. Na Dustan Shekidele, Morogoro/Risasi Mchanganyiko
KATIKA kile kinachoonekana kuwa ni ubunifu wa hali ya juu, mfugaji mmoja, Msimbe Jonas wilayani Mvomero, Morogoro amebuni mbinu mpya ya kuzuia mbuzi wake kuingia katika mashamba ya wakulima na kula mazao yao. Mwandishi wetu aliyekuwa Mvomero vijijini  hivi karibuni alishuhudia Jonas akiwa na mbuzi wake ambao amewatengenezea chombo (plastiki) na...

 

10 years ago

Mwananchi

Baba ajinyonga akidhani amemuua mwanaye kwa kipigo

Mkazi mmoja wa Kijiji cha Bushembe, wilayani Muleba, mkoani Kagera amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya kumpiga mwanaye na kumpasua kichwa.

 

11 years ago

CloudsFM

INSPEKTA WA POLISI MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMUUA MWANAYE

Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene (40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka yake, Alerd Makene (16).

Makene anadaiwa kutenda kosa hilo Julai 24, mwaka huu katika makazi ya polisi, Mtoni Kijichi, Dar es Salaam na anashikiliwa katika Kituo cha Chang’ombe.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya wa Kihenya alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema marehemu Alerd alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Mbagala...

 

11 years ago

KwanzaJamii

INSPEKTA WA POLISI MBARONI KWA TUHUMA ZA KUUA MWANAYE

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene (40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka yake, Alerd Makene (16). Makene anadaiwa kutenda kosa hilo Julai 24, mwaka huu katika makazi ya polisi, Mtoni Kijichi, Dar es Salaam na anashikiliwa katika Kituo cha Chang’ombe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya wa Kihenya alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema marehemu Alerd alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya...

 

10 years ago

GPL

DIDDY AKAMATWA KWA KUPIGANA NA KOCHA AKIMTETEA MWANAYE

 Sean ‘Diddy’ Combs. RAPA Sean ‘Diddy’ Combs wa Marekani, ameachiliwa kutoka gerezani jijini Los Angeles jana, alikokuwa emeswekwa saa kadhaa baada ya kukamatwa kwa kupigana na kocha wa mchezo wa ‘American football’ katika Chuo Kikuu cha Los Angeles (UCLA) ambako mwanaye, Justin Combs, hucheza katika nafasi ya ulinzi. Diddy akiwa na mwanaye Justin Combs. Habari kutoka gerezani zimesema...

 

11 years ago

Mwananchi

UKATILI: Inspekta wa Polisi mbaroni kwa tuhuma za kuua mwanaye

>Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene (40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka yake, Alerd Makene (16).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani