Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUZI WAZIBWA MIDOMO

Mbuzi wakiwa wamezibwa midomo. Na Dustan Shekidele, Morogoro/Risasi Mchanganyiko
KATIKA kile kinachoonekana kuwa ni ubunifu wa hali ya juu, mfugaji mmoja, Msimbe Jonas wilayani Mvomero, Morogoro amebuni mbinu mpya ya kuzuia mbuzi wake kuingia katika mashamba ya wakulima na kula mazao yao. Mwandishi wetu aliyekuwa Mvomero vijijini  hivi karibuni alishuhudia Jonas akiwa na mbuzi wake ambao amewatengenezea chombo (plastiki) na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AACHIKA KWA KUMUUNGUZA MIDOMO MWANAYE!

Stori:Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuunguza midomo mwanaye, huko Yombo Buza, jijini Dar, Juni 24 mwaka huu. Paulina, akiwa na majeraha ya moto midomoni. Kwa mujibu wa majirani, mwanamke huyo alimchoma mtoto wake wa kumzaa, Paulina, mwenye umri wa miaka mitano kwa kile alichodai kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tumia limao kuimarisha mwonekano wa midomo

Mdomo ni kiungo kinachopewa nafasi kubwa katika urembo wa mwanamke kutokana na kuwa ni miongoni mwa viungo vinavyoonekana kwa haraka zaidi.

 

10 years ago

GPL

NDOA INATAKA MAFUNZO, SIYO KUBINUA MIDOMO- 2

Aih! Jamani hebu tusijitoe akili huu ni mwezi wa toba mwezi wa wastaarabu tuwaache watu wafunge siyo kujipitisha na nguo za matamanio kuwafungulisha wenzenu mchana.Tunaendelea na kiporo chetu naona ushakunja mdomo kwa vile nimekugusa. Dada wewee chuki nichukie lakini yangu yachukue. Sasa tuendelee niliishia wapi vile oo nimekumbuka.
Wanawake wenzangu, kaeni mjue kwamba wanaume wana maudhi ambayo tunatakiwa tuyavumilie,...

 

5 years ago

Michuzi

NG'OMBE MWENYE MIDOMO MIWILI AZALIWA ARUSHA

Na Woinde Shizza ArushaSERIKALI kupitia kwa mkurugenzi wa huduma za mifugo Tanzania Prof.Herzon Nonga imetoa ufafanuzi wa kitaalamu juu ya Ng’ombealiezaliwa na midomo miwili pamoja na macho matatu na kubainishakuwa tukio hilo ni lakawaida kwani kutokea ambapo katika ndama elfu2000 wanaozaliwa kunaweza kukawa na mnyama mwenye ulemavu wa viongo mmoja au kutokuwepo kabisa
Hayo yameelezwa na mkurugenzi wa huduma za mifugo Tanzania Prof.Herzon Nonga wakati akiongea na gazeti hili jana...

 

9 years ago

StarTV

Baba awaunguza watoto wake midomo, mikono na  miguu

Mkazi wa kijiji cha Msasa kata ya Busanda wilayani Geita Lucas Perto anashikiliwa kwenye ofisi ya Afisa mtendaji wa kata hiyo kwa tuhuma ya kuwaunguza midomo, mikono na miguu watoto wake akiwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yake.

Baada ya kutekeleza ukatili huo Desemba 6 mtuhumiwa mwenye umri wa miaka 29 aliwaficha watoto wake hadi Desemba 12 walipogunduliwa na wasamaria wema wakiwa wameanza kutoa harufu mbaya.

Wahudumu wa Afya ya msingi ya jamii ndiyo waliookoa maisha ya watoto...

 

5 years ago

Michuzi

NG'OMBE MWENYE VICHWA VIWILI, MIDOMO MIWILI NA MACHO MATATU AZUA TAHARUKI


Na Woinde Shizza, Arusha
TAHARUKI kubwa imeibuka kwa wananchi wa Kijiji cha Ngiresi kilichopo kwenye Kata ya Sokoni 2 katika Halmashauri ya Arusha baada kuzaliwa ng'ombe mwenye vichwa viwili ,midomo miwili na macho matatu .
Kuzaliwa kwa ng'ombe huyo katika eneo hilo kumeibua maswali mengi yasiyo na majibu kwa wananchi hao huku wengi wao wakionekana kushangaa.
Akizungumzia tukio hilo, Mmiliki wa ng'ombe huyo Eliakimu Mungasi ameiambia Michuzi Globu ya jamii kwamba wakati anapewa taarifa ya...

 

11 years ago

Habarileo

Washauriwa kunywa maziwa ya mbuzi

WATANZANIA wameshauriwa kujenga tabia ya kunywa maziwa ya mbuzi, kutokana na kuwa maziwa hayo, yana ubora na ni mazuri kutumiwa hasa kwa watoto, wazee na wagonjwa wa vidonda vya tumbo wakiwemo wenye virusi vya Ukimwi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Waziri Masele ni mbuzi wa kafara’

SERIKALI imedaiwa kumtoa kafara Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stepen Masele, kwa lengo la kuficha udhaifu wake katika sakata la tuhuma alizozitoa dhidi ya Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani