MBUZI WAZIBWA MIDOMO
Mbuzi wakiwa wamezibwa midomo. Na Dustan Shekidele, Morogoro/Risasi Mchanganyiko KATIKA kile kinachoonekana kuwa ni ubunifu wa hali ya juu, mfugaji mmoja, Msimbe Jonas wilayani Mvomero, Morogoro amebuni mbinu mpya ya kuzuia mbuzi wake kuingia katika mashamba ya wakulima na kula mazao yao. Mwandishi wetu aliyekuwa Mvomero vijijini hivi karibuni alishuhudia Jonas akiwa na mbuzi wake ambao amewatengenezea chombo (plastiki) na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wWqFio2gwYXq5*bYMJbKaYMQLdUk49et4EwTj6pqDzxsjN38ryIYAKMvKGPka11IKuSuN2YgaAGlxMf50KNiLco/rohombaya.jpg?width=650)
AACHIKA KWA KUMUUNGUZA MIDOMO MWANAYE!
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Tumia limao kuimarisha mwonekano wa midomo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmOeMteA9D6tMrPzbf8ToDxyMLJ3QQbEErRHgK-pG2AbSib8upgG69rt1ILOpP5mWWIvQd0hZnRC-7AORwvO8bcg/go4mariasharapova016.jpg?width=650)
NDOA INATAKA MAFUNZO, SIYO KUBINUA MIDOMO- 2
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ej764VS9XcU/XlZVN421hYI/AAAAAAALfiE/teud7TBSQ5EegcZ81AHnRcloXKhKfE4fgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200223_130407.jpg)
NG'OMBE MWENYE MIDOMO MIWILI AZALIWA ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ej764VS9XcU/XlZVN421hYI/AAAAAAALfiE/teud7TBSQ5EegcZ81AHnRcloXKhKfE4fgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200223_130407.jpg)
Hayo yameelezwa na mkurugenzi wa huduma za mifugo Tanzania Prof.Herzon Nonga wakati akiongea na gazeti hili jana...
9 years ago
StarTV16 Dec
Baba awaunguza watoto wake midomo, mikono na  miguu
Mkazi wa kijiji cha Msasa kata ya Busanda wilayani Geita Lucas Perto anashikiliwa kwenye ofisi ya Afisa mtendaji wa kata hiyo kwa tuhuma ya kuwaunguza midomo, mikono na miguu watoto wake akiwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yake.
Baada ya kutekeleza ukatili huo Desemba 6 mtuhumiwa mwenye umri wa miaka 29 aliwaficha watoto wake hadi Desemba 12 walipogunduliwa na wasamaria wema wakiwa wameanza kutoa harufu mbaya.
Wahudumu wa Afya ya msingi ya jamii ndiyo waliookoa maisha ya watoto...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/2-Ice_Ice_baby_The_singer_showcased_her_perfect_pout_with_cyan_col-m-25_1441941240434.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bf1h9DXteW0/XlULAnyvsWI/AAAAAAALfQ0/Nch3cRticLQxCPuFTGbQxWUfIheqLhWwwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200223_130243.jpg)
NG'OMBE MWENYE VICHWA VIWILI, MIDOMO MIWILI NA MACHO MATATU AZUA TAHARUKI
Na Woinde Shizza, Arusha
TAHARUKI kubwa imeibuka kwa wananchi wa Kijiji cha Ngiresi kilichopo kwenye Kata ya Sokoni 2 katika Halmashauri ya Arusha baada kuzaliwa ng'ombe mwenye vichwa viwili ,midomo miwili na macho matatu .
Kuzaliwa kwa ng'ombe huyo katika eneo hilo kumeibua maswali mengi yasiyo na majibu kwa wananchi hao huku wengi wao wakionekana kushangaa.
Akizungumzia tukio hilo, Mmiliki wa ng'ombe huyo Eliakimu Mungasi ameiambia Michuzi Globu ya jamii kwamba wakati anapewa taarifa ya...
11 years ago
Habarileo31 May
Washauriwa kunywa maziwa ya mbuzi
WATANZANIA wameshauriwa kujenga tabia ya kunywa maziwa ya mbuzi, kutokana na kuwa maziwa hayo, yana ubora na ni mazuri kutumiwa hasa kwa watoto, wazee na wagonjwa wa vidonda vya tumbo wakiwemo wenye virusi vya Ukimwi.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
‘Waziri Masele ni mbuzi wa kafara’
SERIKALI imedaiwa kumtoa kafara Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stepen Masele, kwa lengo la kuficha udhaifu wake katika sakata la tuhuma alizozitoa dhidi ya Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,...