NDOA INATAKA MAFUNZO, SIYO KUBINUA MIDOMO- 2
![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmOeMteA9D6tMrPzbf8ToDxyMLJ3QQbEErRHgK-pG2AbSib8upgG69rt1ILOpP5mWWIvQd0hZnRC-7AORwvO8bcg/go4mariasharapova016.jpg?width=650)
Aih! Jamani hebu tusijitoe akili huu ni mwezi wa toba mwezi wa wastaarabu tuwaache watu wafunge siyo kujipitisha na nguo za matamanio kuwafungulisha wenzenu mchana.Tunaendelea na kiporo chetu naona ushakunja mdomo kwa vile nimekugusa. Dada wewee chuki nichukie lakini yangu yachukue. Sasa tuendelee niliishia wapi vile oo nimekumbuka. Wanawake wenzangu, kaeni mjue kwamba wanaume wana maudhi ambayo tunatakiwa tuyavumilie,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhm8zAYrtmkvN-gBOTRywrKwSue1ZEwOyd1gwPESh*vQZuf7lkpT0zPzDQnGbguGcwoIOlWmmZ4RfboMNGtgK4zD/mahaba.jpg?width=650)
USIJIDANGANYE, NDOA SIYO MAJARIBIO!-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwEXeezyPSnBwaiItWHK9H9ijS2LwLrrms4*zx*2eqTZZ7f2RVxGHHW-VHxYV3e26nU6qaH-hGpTXdBn2J-y0Xui/thea.jpg)
THEA: NDOA SIYO PETE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2jev4Up-njZKD*SGtkWNqPdfch0agdQJnlcW4fjwsoINvbUvEni6RmqWHTQ1VwSy6sNdze9qgh7Oc1o2C6qAadt/mahaba.jpg?width=650)
USIJIDANGANYE NDOA SIYO MAJARIBIO!-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMvHH3wRLwwJm*wv1SM*z4Nj5LZes9pTdRTgk6wNdRx5GQDKXxZK1Qm-PTHTvCmMOPwT--GjUFmUv47aXLzLFqTp/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK WA CHUZ: NDOA SIYO ISHU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOTW6a5PmQQgEJ61rRv2ng-gX5MOSg5Gnc8OrMHadSX--TPcQzfbVihZnObP*L9s19naJDvYUHKd*pcU6Q4vO16KmkC5PX53/bcouplesmile.jpg)
NDOA SIYO MWISHO WA MATATIZO, MCHUNGUZE KWANZA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUl0oUncw0sttvcfX8097gIx-PYC8O1PTtDUSymvxUHvJinJIEmWsv9JHq-Af0KRgeSgFsYopXaBNWQVQkY6ycpb/g.jpg)
MASTAA: WATOTO KWANZA, NDOA SIYO ISHU
10 years ago
Vijimambo13 Feb
MCHUMBA NINAYE ILA NDOA SIYO LEO
![](http://api.ning.com/files/sRY-hG6lRQ9NpTdO4aV0wdOVzuM2JK4kVFMyVPjpVFM57GmRtUX44oFjB7k*qq195XvYIMzdI72JE2NtTZUymuNMqFjbtonU/peny.jpeg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ9DwuMpq3OoUcqda50jEv8AqK1drcKTJZGJ0PhOxw-Esr57DgpjJPmudPR7i25UhNa2jT9sxvB09mwwsBVjuPHw/Penny.jpg)
PENNY: MCHUMBA NINAYE ILA NDOA SIYO LEO
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Mastaa wa Kike: Watoto Kwanza, Ndoa Siyo Ishu
WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si jambo unaloweza kupanga, kwa vile mwenye uwezo wa kufanya hayo yote ni Mungu, kama ilivyo katika kuamua kuzaa au la.
Coletha Raymond ‘Koletha’, alisema katika maisha ya Kitanzania,...