Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NDOA INATAKA MAFUNZO, SIYO KUBINUA MIDOMO- 2

Aih! Jamani hebu tusijitoe akili huu ni mwezi wa toba mwezi wa wastaarabu tuwaache watu wafunge siyo kujipitisha na nguo za matamanio kuwafungulisha wenzenu mchana.Tunaendelea na kiporo chetu naona ushakunja mdomo kwa vile nimekugusa. Dada wewee chuki nichukie lakini yangu yachukue. Sasa tuendelee niliishia wapi vile oo nimekumbuka.
Wanawake wenzangu, kaeni mjue kwamba wanaume wana maudhi ambayo tunatakiwa tuyavumilie,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

USIJIDANGANYE, NDOA SIYO MAJARIBIO!-2

NDOA ni kitu chenye thamani kubwa sana katika maisha ya binadamu. Jambo na la msingi zaidi kwa wahusika ambao wanahitaji kuunganika katika ndoa ni upendo.
Lazima wote wawe wana hisia za kweli kutoka ndani ya mioyo yao. Ndoa si jambo la kukurupuka wala kuamua kuingia kwa maana ya kufanya majaribio. Siyo sahihi hata kidogo.
Wiki iliyopita nilianza kwa kueleza mambo ya msingi ya kuzingatia wakati ukimtaka mwenzi wa maisha yako....

 

10 years ago

GPL

THEA: NDOA SIYO PETE

Stori: Imelda Mtema
Msanii wa muda mrefu katika filamu Bongo, Salome Urassa maarufu kama Thea,  amejinasibu kuwa kutovaa kwake pete ya ndoa haimaanishi chochote kwa vile kitu hicho siyo muhimu. Msanii wa muda mrefu katika filamu Bongo, Salome Urassa maarufu kama Thea wakati wa kufunga ndoa. Akizungumza na paparazi wetu juzikati, Thea alisema awali alikuwa akivaa pete, lakini bahati mbaya ilipotea na kupotea huko...

 

11 years ago

GPL

USIJIDANGANYE NDOA SIYO MAJARIBIO!-3

LEO tunahitimisha mada yetu. Kuna baadhi ya marafiki huingia kwenye ndoa wakiwa na matumaini ya kujifunza – hata kama hana mapenzi na mwenzi wake. Hilo ni kosa kubwa. Hakuna kujifunza ndani ya ndoa. Wiki mbili zilizopita nilifafanua mambo mengi ya msingi lakini kubwa zaidi nilikazia kuwa, ndoa si tendo la majaribio. Linahitaji kujipanga na kuwa na uhakika na mwenzi unayekwenda kuungana naye.
Tuendelee kujifunza marafiki...

 

10 years ago

GPL

JACK WA CHUZ: NDOA SIYO ISHU

Mwigizaji Jacqueline Steven Pentezel ‘Jack wa Chuzi’. Brighton masalu
SIKU chache baada ya kudaiwa kuachana na mumewe, mwigizaji Jacqueline Steven Pentezel ‘Jack wa Chuzi’ amesema watu wasimshangae kuwa na mgogoro na mwanandoa mwenzake na kuweka bayana kuwa ndoa siyo kila kitu katika maisha! Katika mazungumzo ya njia ya simu na mwandishi wetu, msanii huyo alionekana kuwa mbogo kidogo, huku akijaribu...

 

9 years ago

GPL

NDOA SIYO MWISHO WA MATATIZO, MCHUNGUZE KWANZA

Namshukuru Mungu kuona nina afya njema. Kabla sijaongea mengi leo nimekuja na mada hii ili kuwakumbusha wasichana wanaokimbilia ndoa halafu hawafiki mbali na ndoa zao wanaishia kuzivunja tena kwa mikiki na visasi. Nina visa vya kijana mmoja ambaye alinisimulia kuhusiana na mkasa wake wa mapenzi na kusema kuwa yeye alikuwa si mtu wa mademu sana na alifanya hivyo kutokana na malezi aliyolelewa na wazazi wake. “Sikuwahi kupenda...

 

10 years ago

GPL

MASTAA: WATOTO KWANZA, NDOA SIYO ISHU

Stori:  Gladness Mallya na Mayasa Mariwata/Risasi Mchanganyiko
WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa. Staa wa filamu wa filamuBongo, Anti Lulu akipozi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si...

 

10 years ago

Vijimambo

MCHUMBA NINAYE ILA NDOA SIYO LEO

Mtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul, ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’.Na Hamida Hassan/IjumaaMtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul, ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kusema kuwa anashukuru amepata mchumba ila suala la ndoa siyo la leo wala kesho.Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Penny alisema wengi wamekuwa wakitaka kusikia suala la yeye kuolewa baada ya kubainika ana mchumba lakini mwenyewe anasema hajafikiria hilo la kuitwa...

 

10 years ago

GPL

PENNY: MCHUMBA NINAYE ILA NDOA SIYO LEO

Na Hamida Hassan/Ijumaa
Mtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul, ‘Diamond’,  Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kusema kuwa anashukuru amepata mchumba ila suala la ndoa siyo la leo wala kesho. Mtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul, ‘Diamond’,  Penniel Mungilwa ‘Penny’. Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Penny alisema wengi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mastaa wa Kike: Watoto Kwanza, Ndoa Siyo Ishu

WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si jambo unaloweza kupanga, kwa vile mwenye uwezo wa kufanya hayo yote ni Mungu, kama ilivyo katika kuamua kuzaa au la.

Coletha Raymond ‘Koletha’, alisema katika maisha ya Kitanzania,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani