Tumia limao kuimarisha mwonekano wa midomo
Mdomo ni kiungo kinachopewa nafasi kubwa katika urembo wa mwanamke kutokana na kuwa ni miongoni mwa viungo vinavyoonekana kwa haraka zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboGwajima: Asiyempenda Lowassa Akale Limao
Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Askofu Josephati Gwajima amesema kwamba mwananchi au mwanasiasa yeyote asiyempenda Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akale limaoAskofu Gwajima alisema hayo juzi mara baada ya Edward Lowassa kumaliza hatuba yake wakati akitangaza nia ya kutaka kugombea urais katika uchaguzi mkuukwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, CCM.
Kabla ya kumaliza hotuba yake wananchi walimshinikiza Edward Lowassa amsimamishe Askofu Gwajima ndipo Lowassa alimuita na kumpa...
10 years ago
GPLMBUZI WAZIBWA MIDOMO
Mbuzi wakiwa wamezibwa midomo. Na Dustan Shekidele, Morogoro/Risasi Mchanganyiko
KATIKA kile kinachoonekana kuwa ni ubunifu wa hali ya juu, mfugaji mmoja, Msimbe Jonas wilayani Mvomero, Morogoro amebuni mbinu mpya ya kuzuia mbuzi wake kuingia katika mashamba ya wakulima na kula mazao yao. Mwandishi wetu aliyekuwa Mvomero vijijini hivi karibuni alishuhudia Jonas akiwa na mbuzi wake ambao amewatengenezea chombo (plastiki) na...
11 years ago
GPLAACHIKA KWA KUMUUNGUZA MIDOMO MWANAYE!
Stori:Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuunguza midomo mwanaye, huko Yombo Buza, jijini Dar, Juni 24 mwaka huu. Paulina, akiwa na majeraha ya moto midomoni. Kwa mujibu wa majirani, mwanamke huyo alimchoma mtoto wake wa kumzaa, Paulina, mwenye umri wa miaka mitano kwa kile alichodai kuwa...
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Anza mwaka kwa mwonekano mpya
Mwaka unapomalizika, wengi huwa na matarajio makubwa hasa kubadilisha mfumo wa maisha kuendana na mabadiliko ya mwaka, lakini, pamoja na hayo, wapo wanaoona kuwa hakuna haja ya kufanya hivyo wakiamini, wanachotaka kufanya hakihitaji mabadiliko.
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mitindo ya ubanaji rasta inavyoboresha mwonekano
Ni ukweli usiofichika kuwa nywele ni urembo unaopewa kipaumbele na wanawake wengi hasa katika maeneo ya mijini.
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Google yabadili mwonekano wa Nembo yake
Google imebadili nembo yake mpya kwa ajili ya watumiaji wake
5 years ago
MichuziNG'OMBE MWENYE MIDOMO MIWILI AZALIWA ARUSHA
Na Woinde Shizza ArushaSERIKALI kupitia kwa mkurugenzi wa huduma za mifugo Tanzania Prof.Herzon Nonga imetoa ufafanuzi wa kitaalamu juu ya Ng’ombealiezaliwa na midomo miwili pamoja na macho matatu na kubainishakuwa tukio hilo ni lakawaida kwani kutokea ambapo katika ndama elfu2000 wanaozaliwa kunaweza kukawa na mnyama mwenye ulemavu wa viongo mmoja au kutokuwepo kabisa
Hayo yameelezwa na mkurugenzi wa huduma za mifugo Tanzania Prof.Herzon Nonga wakati akiongea na gazeti hili jana...
Hayo yameelezwa na mkurugenzi wa huduma za mifugo Tanzania Prof.Herzon Nonga wakati akiongea na gazeti hili jana...
10 years ago
GPLNDOA INATAKA MAFUNZO, SIYO KUBINUA MIDOMO- 2
Aih! Jamani hebu tusijitoe akili huu ni mwezi wa toba mwezi wa wastaarabu tuwaache watu wafunge siyo kujipitisha na nguo za matamanio kuwafungulisha wenzenu mchana.Tunaendelea na kiporo chetu naona ushakunja mdomo kwa vile nimekugusa. Dada wewee chuki nichukie lakini yangu yachukue. Sasa tuendelee niliishia wapi vile oo nimekumbuka.
Wanawake wenzangu, kaeni mjue kwamba wanaume wana maudhi ambayo tunatakiwa tuyavumilie,...
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Pazia; pambo linaloweza kubadili mwonekano wa nyumba
Tunapozungumzia mitindo na utanashati, tunalenga mtu binafsi pamoja na mazingira yanayomzunguka, kuanzia mavazi yake, mwonekano, miondoko, mazingira ya nyumba au makazi, yanayopaswa kuwa katika hali inayoridhisha wakati wote.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania