Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitindo ya ubanaji rasta inavyoboresha mwonekano

Ni ukweli usiofichika kuwa nywele ni urembo unaopewa kipaumbele na wanawake wengi hasa katika maeneo ya mijini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LUCY KOMBA ANYOA RASTA KISA NDOA

Stori: Na Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lucy Komba ambaye hivi karibuni alifunga ndoa na Janus Stanley, raia wa Denmark, amesema kuwa ameamua kunyoa rasta zake alizozifuga kwa muda mrefu kwa kile alichodai matakwa ya ndoa. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lucy Komba. Akizungumza na mwandishi wetu, Lucy alisema kuwa ameamua kunyoa nywele zake hizo kwa kuwa anaona ni mke wa mtu anatakiwa kubadilika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Google yabadili mwonekano wa Nembo yake

Google imebadili nembo yake mpya kwa ajili ya watumiaji wake

 

11 years ago

Mwananchi

Tumia limao kuimarisha mwonekano wa midomo

Mdomo ni kiungo kinachopewa nafasi kubwa katika urembo wa mwanamke kutokana na kuwa ni miongoni mwa viungo vinavyoonekana kwa haraka zaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Anza mwaka kwa mwonekano mpya

Mwaka unapomalizika, wengi huwa na matarajio makubwa hasa kubadilisha mfumo wa maisha kuendana na mabadiliko ya mwaka, lakini, pamoja na hayo, wapo wanaoona kuwa hakuna haja ya kufanya hivyo wakiamini, wanachotaka kufanya hakihitaji mabadiliko.

 

11 years ago

Mwananchi

Pazia; pambo linaloweza kubadili mwonekano wa nyumba

Tunapozungumzia mitindo na utanashati, tunalenga mtu binafsi pamoja na mazingira yanayomzunguka, kuanzia mavazi yake, mwonekano, miondoko, mazingira ya nyumba au makazi, yanayopaswa kuwa katika hali inayoridhisha wakati wote.

 

11 years ago

Mwananchi

William Levy: Staa anayevuna fedha kwa mwonekano wake

Miaka ya nyuma mwonekano ulikuwa hauna soko kubwa kwenye sanaa, tofauti na ilivyo sasa ambapo mtu anaweza kutajirika kutokana na namna alivyoumbwa.

 

10 years ago

Africanjam.Com

WATOTO WA BRAZIL WENYE MWONEKANO KAMA WA DAVID LUIZ NA THIAGO SILVA..


David Luiz na Thiago Silva ambao wakua marafiki tangu wapo wadogo hadi leo wamekua wachezaji wakubwa, sasa hawa watoto wawili ni kivutio kikubwa sana tangu mwaka jana wakati wa World Cup.
Siku ya mechi ya Mexico Vs Brazil ambapo Brazil walishinda kwa 2-0 ikiwa ni sehemu ya kujiandaa na mashindano ya Copa America. Kitu kilichovutia zaidi kwenye mechi hiyo ni watoto wawili ambao wanafanana sana na David na Thiago.
Majina yao ni Lyan na Murilo ambapo waliingia kama watoto wanaosindikiza...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Missy Elliott auonesha mwonekano wake wa sasa baada ya mwili wake kupungua sanaaa!

Rapper Missy Elliot ameshare picha ya muonekano wa mwili wake ulivyo hivi sasa, baada ya kupungua kwa kiasi kikubwa sana hadi unaweza usimtambue kwa haraka. Mwonekano wa sasa wa Missy Elliott Katika picha hiyo aliyoipost Instagram aliandika “Just got off stage thanks @ALEXANDERWANGNY and @hmusa for having me perform I enjoyed.” Muonekano wa 1998 Elliot […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Mitindo ilivyonoga A.Kusini

Kila mwezi wa Februari , maelfu ya watu Afrika Kusini huvaa mavazi yanayovutia na kufululiza moja kwa moja hadi kwa tukio la mashindano ya mavazi na mtitindo huko J&B Met, jijini Cape Town.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani