Mitindo ya ubanaji rasta inavyoboresha mwonekano
Ni ukweli usiofichika kuwa nywele ni urembo unaopewa kipaumbele na wanawake wengi hasa katika maeneo ya mijini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68zWWZsqlic8uXMC2RLByrpZ3W5XNakTomXMxvnllSkY24ghmDs1*daRnLbp68Xu-KeLzP9oHtOc5kAdtn0RO8MV/s.jpg?width=650)
LUCY KOMBA ANYOA RASTA KISA NDOA
Stori: Na Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lucy Komba ambaye hivi karibuni alifunga ndoa na Janus Stanley, raia wa Denmark, amesema kuwa ameamua kunyoa rasta zake alizozifuga kwa muda mrefu kwa kile alichodai matakwa ya ndoa. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lucy Komba. Akizungumza na mwandishi wetu, Lucy alisema kuwa ameamua kunyoa nywele zake hizo kwa kuwa anaona ni mke wa mtu anatakiwa kubadilika...
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Google yabadili mwonekano wa Nembo yake
Google imebadili nembo yake mpya kwa ajili ya watumiaji wake
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Tumia limao kuimarisha mwonekano wa midomo
Mdomo ni kiungo kinachopewa nafasi kubwa katika urembo wa mwanamke kutokana na kuwa ni miongoni mwa viungo vinavyoonekana kwa haraka zaidi.
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Anza mwaka kwa mwonekano mpya
Mwaka unapomalizika, wengi huwa na matarajio makubwa hasa kubadilisha mfumo wa maisha kuendana na mabadiliko ya mwaka, lakini, pamoja na hayo, wapo wanaoona kuwa hakuna haja ya kufanya hivyo wakiamini, wanachotaka kufanya hakihitaji mabadiliko.
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Pazia; pambo linaloweza kubadili mwonekano wa nyumba
Tunapozungumzia mitindo na utanashati, tunalenga mtu binafsi pamoja na mazingira yanayomzunguka, kuanzia mavazi yake, mwonekano, miondoko, mazingira ya nyumba au makazi, yanayopaswa kuwa katika hali inayoridhisha wakati wote.
11 years ago
Mwananchi25 May
William Levy: Staa anayevuna fedha kwa mwonekano wake
Miaka ya nyuma mwonekano ulikuwa hauna soko kubwa kwenye sanaa, tofauti na ilivyo sasa ambapo mtu anaweza kutajirika kutokana na namna alivyoumbwa.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-h5S303Sjf1A/VXXcCRCgrnI/AAAAAAAAB-Y/vlGsLBrQMns/s72-c/34.jpg)
WATOTO WA BRAZIL WENYE MWONEKANO KAMA WA DAVID LUIZ NA THIAGO SILVA..
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5S303Sjf1A/VXXcCRCgrnI/AAAAAAAAB-Y/vlGsLBrQMns/s400/34.jpg)
David Luiz na Thiago Silva ambao wakua marafiki tangu wapo wadogo hadi leo wamekua wachezaji wakubwa, sasa hawa watoto wawili ni kivutio kikubwa sana tangu mwaka jana wakati wa World Cup.
Siku ya mechi ya Mexico Vs Brazil ambapo Brazil walishinda kwa 2-0 ikiwa ni sehemu ya kujiandaa na mashindano ya Copa America. Kitu kilichovutia zaidi kwenye mechi hiyo ni watoto wawili ambao wanafanana sana na David na Thiago.
Majina yao ni Lyan na Murilo ambapo waliingia kama watoto wanaosindikiza...
10 years ago
Bongo520 Oct
Picha: Missy Elliott auonesha mwonekano wake wa sasa baada ya mwili wake kupungua sanaaa!
Rapper Missy Elliot ameshare picha ya muonekano wa mwili wake ulivyo hivi sasa, baada ya kupungua kwa kiasi kikubwa sana hadi unaweza usimtambue kwa haraka. Mwonekano wa sasa wa Missy Elliott Katika picha hiyo aliyoipost Instagram aliandika “Just got off stage thanks @ALEXANDERWANGNY and @hmusa for having me perform I enjoyed.” Muonekano wa 1998 Elliot […]
11 years ago
BBCSwahili03 Feb
Mitindo ilivyonoga A.Kusini
Kila mwezi wa Februari , maelfu ya watu Afrika Kusini huvaa mavazi yanayovutia na kufululiza moja kwa moja hadi kwa tukio la mashindano ya mavazi na mtitindo huko J&B Met, jijini Cape Town.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania