Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitindo ilivyonoga A.Kusini

Kila mwezi wa Februari , maelfu ya watu Afrika Kusini huvaa mavazi yanayovutia na kufululiza moja kwa moja hadi kwa tukio la mashindano ya mavazi na mtitindo huko J&B Met, jijini Cape Town.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Lady in red 2014 fashion show ilivyonoga

Miss Tanzania kwa mwaka 2013 na 2014 Hapiness Watimanywa akipozi katika Red Carpet ya Lady in Red Fashion show 2014 iliyofanyika Ijumaa katika ukumbi wa Serena jijini Dar es salaam
Mama wa Mitindo Asia Idarous-Khamsin  Mwandaaji wa onesho hilo
Mbunge mteule wa Bunge la Katiba Mhe Maria Sarungi-Tehai akihojiwa na Deo wa Nivana wa East Afrika Television aliyekuwa MC wa siku.
Asia akimkabidhi ua mumewe Bw. Khamsin
Kwa picha zaidi za Habari5 Blog BOFYA HAPA Pia BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

HAFLA YA SIKU YA WANAWAKE ILIVYONOGA JIJINI DAR LEO

Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mama Asha Bilal akiambatana na Mwenyeji wake,Shamim Mwasha wakati akikagua kazi mbalimbali za wanawake kwenye hafla ya Siku ya Wanawake,iliyofanyika jioni ya leo kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar es Salaam.. Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mama Asha Bilal na Mwenyeji wake,Shamim Mwasha wakipitia moja ya vitabu vya watoto vilivyotungwa na mmoja wa wanawake wa Tanzania. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya...

 

9 years ago

Michuzi

Michezo katika Shamrashamra za Tamasha la siku ya Walimu Duniani ilivyonoga Zanzibar

Na Rahma Khamis -Maelezo, Zanzibar Waalimu Nchini wametakiwa kuwapa fursa na kuwahamasisha wanafunzi wa Skuli mbalimbali kushiriki katika michezo ili kuwezesha kupata timu nzuri na kushiriki katika mashindano ya Kimataifa. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Wizara ya Habari Utamaduni Wasanii na Michezo Tanzania Leonaed Thadeo katika Uwanja wa Amani nje wakati alipokua akifunga Shamrashamra za Tamasha siku ya Walimu Duniani. Amesema nchini  Tanzania wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

Neymar Jr na mitindo 30 tofauti ya nywele

Mashabiki wengi wa soka wanamfahamu Neymar Jr kuwa ni mwanasoka nyota wa Brazil na klabu yake, Barcelona ya Hispania.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vijana wa Kisomali na mitindo yao

Vijana wa Kisomali mjini Nairobi wamejitosa katika fasheni na sasa wanalenga kuwa waigizaji

 

11 years ago

BBCSwahili

Mitindo yashindana ukumbini na mitandaoni

Wanablogu wa mitindo watumia video kuonyesha mitindo yao, je darubini imehama kutoka kumbi za maonyesho hadi mitandao ya kijamii?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Idarous awika na mitindo Nigeria

MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin, mwishoni mwa wiki aliitangaza vema Tanzania katika onesho la mavazi ya ubunifu lililokuwa maalumu kwa ajili ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mitindo tofauti ya kubana nywele

Urembo wa nywele, ni ule ambao unazingatiwa watu wa jinsi zote, lakini zaidi ni kwa wanawake. Jinsi hii, kwa kiasi kikubwa, wamekuwa wakitumia muda mwingi kutunza nywele.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani