Aah! Kiiza hii sasa sifa
Mshambuliaji wa Simba, Hamis Kiiza amedhihirisha ubora wake wa kuzifumania nyavu kwa kupiga ‘hat trick’ ya kwanza msimu huu na kuiongoza timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Kagera Sugar ya Bukoba kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Ni Okwi tena.... aah! Hii sasa sifa
9 years ago
Habarileo03 Nov
Kerr ammwagia sifa Kiiza
KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amesema mshambuliaji wake, Hamisi Kiiza ni aina ya wachezaji ambao ukiwa nao uwanjani unajua wakati wowote utafurahi.
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Sasa ni zamu ya Kiiza
VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC, jana walizidi kulinda rekodi yao ya kutopoteza mchezo, baada ya kuwalazimisha mabingwa watetezi Yanga sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa...
11 years ago
MichuziCULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.
Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Bongo516 Feb
Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHsmjK9749PyzUElqpJqyxpJtwczgkhrBnW8HMfDO3X8mw0F5okd89RDD4L2SywMLoIGgpGv1jzS8YePqELqYoQxL/FRONTRISASI.gif?width=650)
AAH! DIAMOND
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...