Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aah! Kiiza hii sasa sifa

Mshambuliaji wa Simba, Hamis Kiiza amedhihirisha ubora wake wa kuzifumania nyavu kwa kupiga ‘hat trick’ ya kwanza msimu huu na kuiongoza timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Kagera Sugar ya Bukoba kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ni Okwi tena.... aah! Hii sasa sifa

Ni Okwi tena... baada ya kuisulubu Yanga wiki iliyopita, mshambuliaji Emmanuel Okwi aliibuka tena shujaa jana baada ya kuipatia Simba pointi tatu muhimu dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye dakika za majeruhi.

 

9 years ago

Habarileo

Kerr ammwagia sifa Kiiza

KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amesema mshambuliaji wake, Hamisi Kiiza ni aina ya wachezaji ambao ukiwa nao uwanjani unajua wakati wowote utafurahi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sasa ni zamu ya Kiiza

VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC, jana walizidi kulinda rekodi yao ya kutopoteza mchezo, baada ya kuwalazimisha mabingwa watetezi Yanga sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa...

 

11 years ago

Michuzi

CULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.

Filamu Mpya ya Cultural Wars Sasa Yapatikana! Wahi Kujipatia DVD! 

Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPO SASA NA CHRISTMAS HII MFUKO UMEBAKIWA NA HII KICHELE

Maladhi yote ugua lakini kucha usiombee 

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa

Baada ya kutangaza kuwa kwa sasa yuko single, miongoni mwa maswali ambayo Lady Jaydee amekutana nayo ni kuhusu sifa za mwanaume ambaye anamtaka awe mpenzi wake kwa sasa. Kupitia Instagram Jide aliorodhesha sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa, soma huenda ukawa nazo (kama wewe ni mwanaume mwenye ndoto za kuwa na staa huyo). Yapo maswali […]

 

10 years ago

GPL

AAH! DIAMOND

Musa Mateja Aah! Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul ‘Diamond’, juzikati alijikuta akipigwa butwaa kufuatia kitendo cha mcheza shoo wake, Moses Iyobo ëMozeí na mzazi mwenzake, Aunt Ezekiel kuoneshana ‘mahaba nipeleke kuzimu’ hadharani, Risasi Mchanganyiko lilikuwepo kushuhudia. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1MNCcby ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal

robert-pires_3068381k

Robert Pires.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.

Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.

“Namjua Wanyama, ni balozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani