Abdallah Juma ang’ara kwa kuchana nyavu ‘Mchangani’Â
MSHAMBULIAJI wa timu ya Mtibwa Sugar ya Ligi Kuu Tanzania bara, Abdallah Juma ameibukia mashindano ya mchangani ‘ndondo’ akiwa na timu ya Makumira FC inayoshiriki michuano ya TPC Challenge iliyoanza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMWISHO WA ZIARA YA SWAHILI BLUES BAND WAFANA VILIVYO- JUMA SETUMBI ANG'ARA
Mkongwe Dr Mulatu akijituma
Dr Mulatu akikong'ori vigoma vyake
Ziara ya Swahili Blues Band mjini Addis Ababa ilimalizika rasmi siku ya Jumamosi ya tarehe 11 April 2015 katika klabu mpya na maarufu ya African Jazz Village.
Kama ilivyo kawaida, shoo ilianza rasmi saa tatu na nusu usiku pale Swahili Blues Band ilipopanda jukwaani na kuanza kuporomosha nyimbo zao mfululizo. Waliendelea na midundo hiyo kwa muda wa saa moja na ilipotimia saa nne na nusu ndipo Leo Mkanyia...
10 years ago
VijimamboMWISHO WA ZIARA YA SWAHILI BLUES BAND WAFANA VILIVYO NCHINI ETHIOPIA- JUMA SETUMBI ANG'ARA
Mkongwe Dr Mulatu akijituma
Dr Mulatu akikong'ori vigoma vyake
Ziara ya Swahili Blues Band mjini Addis Ababa ilimalizika rasmi siku ya Jumamosi ya tarehe 11 April 2015 katika klabu mpya na maarufu ya African Jazz Village.
Kama ilivyo kawaida, shoo ilianza rasmi saa tatu na nusu usiku pale Swahili Blues Band ilipopanda jukwaani na kuanza kuporomosha nyimbo zao mfululizo. Waliendelea na midundo hiyo kwa muda wa saa moja na ilipotimia saa nne na nusu ndipo Leo Mkanyia...
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Mdau Maneno Abdallah alivyong’ara na Mkewe Bi Nusrat Tahwa
Bwana Harusi Maneno Abdallah na Mkewe Bi Nusrat Tahwa wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunga ndoa hapo jana.
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Messi ang'ara dhidi ya Deportivo
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Samata ang’ara, Al Ahly chali
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Janet Mbene ang’ara Songwe
Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe, Janet Mbene akihutubia mamaia ya wakazi wa kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Malangali.
Katibu wa CCM Wilaya ya Ileje mkoa Songwe, Hamida Mbogo akiwa jukwaani akinadi sera za chama cha mapinduzi juu ya mafiga matatu katika kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa chama hicho Janet Mbene.
Mgombea ubunge wa chama cha Mapinduzi katika Wilaya...
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Uhuru Kenyatta ang’ara Afrika
![Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Uhuru-Kenyatta.jpg)
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta
WASHINGTON, Marekani
RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewapiku marais wenzake wa Afrika Mashariki kwa kushika nafasi ya kwanza kwa ufanisi wa kazi, kwa mujibu wa utafiti wa Shirika la Gallup la nchini Marekani.
Utafiti huo ulitolewa jana ambapo licha ya Rais Kenyatta kuwa madarakani kwa kipindi cha mwaka mmoja ameweza kuwapiku wenzake waliodumu madarakani kwa muda mrefu.
Pamoja na Rais Jakaya Kikwete, kuingoza nchi kwa mwaka wa tisa sasa utafiti huo umeshindwa...
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Mtanzania ang’ara Uhuru Marathon
11 years ago
Habarileo19 Mar
Naibu Waziri ang’ara duniani
NAIBU Waziri wa Sheria na Katiba, Angella Kairuki ameteuliwa kuwa miongoni mwa Kundi la Viongozi Vijana Duniani kwa mwaka huu. Kairuki aliteuliwa pamoja na Mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Bongo5, Luca Nengesti.