Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT waandaa mkutano wa ujenzi wa taifa

Chama cha ACT-Wazalendo kimeandaa mkutano utakaohusu ujenzi wa taifa huru la kidemokrasia na maendeleo endelevu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

BARAZA LA TAIFA LA UJENZI KATIKA MKUTANO WA 13 WA BODI YA USAJIRI YA WAHANDISI TANZANIA

 Katibu Mkuu  Kiongozi Balozi Ombeni Sefue alipotembelea Banda la NCC katika mkutano wa 13 wa bodi ya Wahandisi TanzaniaKatibu Mkuu  Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ( wa kwanza kulia) akipata maelezo ya baadhi ya machapisho ya kitaalamu ya sekta ya Ujenzi yanayotolewa na Baraza la Taifa la Ujenzi kutoka kwa  Mhandisi Julius Mwita.  Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi wakitoa maelezo ya shughuli za Baraza kwa Wahandisi waliotembelea katika banda la (NCC).  Wa kwaza kulia ni Afisa...

 

9 years ago

GPL

JUMUIYA YA AHMADIYYA WAANDAA MKUTANO

Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislam, Seif Hassan, Tahir Mahmood na Katibu Msaidizi, Abdulrahman Ame anayezungumza. Wakisikiliza maswali kutoka kwa wana habari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

GPL

UZINDUZI WA ACT NA MKUTANO MKUU KUFANYIKA MACHI 28 NA 29

KAMA mnavyofahamu, Chama cha Wazalendo ACT-Tanzania kitafanya mkutano wake mkuu na uzinduzi wa chama mnamo tarehe 28 na 29 Machi 2015. Katika mkutano Mkuu chama kitapitisha katiba mpya ya chama na kufanya uchaguzi wa nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Kiongozi wa chama, Mwenyekiti wa Chama, Makamu wenyeviti, Katibu Mkuu na Manaibu makatibu wakuu. Pia chama kitachagua wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu. Katika Uzinduzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

ACT WALIPOFANYA MKUTANO WAO MKUU JIJINI DAR

Mwenyekiti wa Chama cha  Alliance for change and Transparecy (ACT)  Anaa Elisha (kulia) akiwapungia mikono wanachama alipokua akiingia katika Ukumbi wa Diamondi Jubilee Dar es Salaam jana. (kushoto) ni  Kiongizi MKuu wa chama  hicho,Zitto Kabwe.
 Mwenyekiti wa Chama cha  Alliance for change and Transparecy (ACT)  Anaa Elisha Akiwashukuru wanachama wote walioshiriki walio kiunga Mkono chama hicho nawaliotoka vyama vingine wakiwemo viongozi na Taasisi Mbalimbali.Baadhi ya wajumbe na Viongozi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMIA WAHUDHURIA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO MKOANI MWANZA

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha jijini humo. (Picha na Said Powa)
 Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa ACT-Wazalendo.

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA ACT CHAFANYA MKUTANO MKOANI SHINYANGA


Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Anna Mngwhira, akiwahutubia wakazi wa mji wa Kahama Mkoani Shinyanga jana kwenye viwanja vya CDT,wakati wa mkutano wa chama hicho wakutafuta uungwaji mkono kwa wananchi. (Picha na Said Powa)Wananchi wa mji wa Kahama wakiwashangilia viongozi wa Chama cha ACT -Wazalendo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya CDT Mjini hapa.
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo,Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Kahama Mkoani Shinyanga kwenye mkutano...

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA ACT WAZALENDO JIMBO LA MOROGORO MJINI LEO

Wanachama  ACT  wazalendo la  wananchi  wa   jimbo la  Morogoro  mjini wakiwa katika mkutano  wa ACT wazalendo leo



viongozi  wa  kitaifa  wa ACT  wazalendo  wakiimba  wimbo wa  Taifa  kabla ya  kuanza  mkutano  wa  hadhara  jimbo la  Morogoro  mjini  leoWanachama  wa  ACT  wazalendo  wakiimba  wimbo wa  Taifa  leo.
Picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Tanzania Daima

ACT kufanya mkutano mkuu Novemba 20 mwaka huu

CHAMA Cha Alliance for Change and Transparance, (ACT-Tanzania), kinatarajia kufanya mkutano mkuu maalum wa Taifa wa chama hicho  Novemba 20 mwaka huu. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa muda...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maelfu wafurika mkutano wa utambulisho wa viongozi wa ACT Mpanda

DSC_0861

Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara za kutambulisha viongozi wake. 

DSC_0844

DSC_0789

Wanampanda wakishangilia hotuba ya Zitto Kabwe wakati wa utambulisho wa viongozi wa chama hicho mjini Mpanda.

DSC_0777

Mwanaharakati na Mshauri wa chama cha ACT Wazalendo, Mama Terry, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea  na ziara ya kutambulisha viongozi wake.

DSC_0746

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani