ACT wafanikiwa kuchukua kiti kingine cha Udiwani Kagera!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[TANZANIA] Chama cha ACT upitia mtandao wake wa Twitter wametaarifu kuwa chama hicho kimefanikiwa kutwaa nafasi ya kiti cha Udiwani kupitia Kata ya Kagera, iliyopo katika mji wa Kigoma Ujiji, Mkoani Kigoma. Kupitia kwenye akaunti yao hiyo ya chama hicho ya ACTwazalendo (Taifa kwanza) wameandika: #Uchaguzi uliofanyika Leo kata ya Kagera @ACTwazalendo tumeshinda kwa kishindo kikubwa tunawashukuru sana kwa kutuamini na kutupatia Diwani.” ulisomeka ujumbe...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YJEGf1bioEQ/VdjJs7hxIGI/AAAAAAAB55E/DcpO6_hIYxg/s72-c/cuf%2B1.jpg)
WAGOMBEA UWAKILISHI NA UDIWANI KWA TIKETI YA CHAMA CHA CUF WAFIKA OFISI ZA ZEC KUCHUKUA FOMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-YJEGf1bioEQ/VdjJs7hxIGI/AAAAAAAB55E/DcpO6_hIYxg/s640/cuf%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u4ooQdXeNNc/VdjJtviPjSI/AAAAAAAB56Q/e9eCuM9tTXE/s640/cuf%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NMMP4Cjq7fY/VdjJtw-0NoI/AAAAAAAB55Q/l7_mE7nm79I/s640/cuf%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_YfvF9wQcdk/VdjJuU-wb0I/AAAAAAAB55U/YjQlpS39t-o/s640/cuf%2B4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XlTdPR1mbEc/VdjJvBl7nSI/AAAAAAAB55Y/2gnBrRC4KgU/s640/cuf%2B5.jpg)
9 years ago
VijimamboKALAPINA WA KIKOSI CHA MIZINGA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KINONDONI KWA TIKETI ACT WAZALENDO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Pxoan8odKh0/Vf-xjOxRQYI/AAAAAAAH6cs/eZ-FnUYcFwU/s72-c/_MG_8365.jpg)
MAGUFULI AHANI MSIBA WA ALIYEKUWA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MULEBA MKOANI KAGERA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pxoan8odKh0/Vf-xjOxRQYI/AAAAAAAH6cs/eZ-FnUYcFwU/s640/_MG_8365.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5lwNq7wTZ14/Vf-xkbveSFI/AAAAAAAH6c0/qyDG2kG2VSM/s640/_MG_8375.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GJR15TzOjjw/Vf-xeN7RViI/AAAAAAAH6cQ/zdSXrgCPWWg/s640/_MG_8336.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
9 years ago
Mwananchi17 Aug
ACT-Wazalendo kuchukua fomu urais leo
Mgombea urais wa Chama cha ACT- Wazalendo anatarajiwa kujulikana leo pale atakapojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi hiyo katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
10 years ago
Michuzi02 Oct
Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-PQ3cCBhtNUE/VCwNv30XPoI/AAAAAAADEsg/fLSGWFewAGQ/s1600/01.aa4.jpg)
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Kihunzi kingine cha Katiba inayopendekezwa
Katiba inayopendekezwa itakutana na kihunzi kingine katika utekelezwaji wake kutokana na Zanzibar kutakiwa kubadili Katiba yake, zikiwamo ibara zilizobeba msingi wa mabadiliko ya 10 katika Katiba ya Zanzibar.
11 years ago
Habarileo06 May
Chama kingine cha siasa chasajiliwa
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), jana kilikabidhiwa cheti cha usajili wa kudumu na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kituo kingine cha polisi chavamiwa
Kundi la watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamevamia na kuvunja stoo ya Kituo kidogo cha Polisi Mngeta, Kilombero na kuiba bunduki aina ya SMG ikiwa na risasi 30.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania